Nina miaka 23, niko mwaka wa kwanza wa stashahada ya ualimu, natafuta mchumba mwenye umri chini ya miaka 22 ambaye hajali uwezo na kipato cha mtu.
Sibagui rangi ya ngozi whether albino or not, muhimu, awe na mapenzi ya dhati na anayejali na pia awe na uamzi wa hakika na siyo kuchezea akili...