Mambo mengine uwe unanyamaza ili ubongo wako utilie ujipange kwa kuandika pumba siku nyingine,CCM ndio inaongoza hii serikali iweje ishindwe kusimamia ujenzi bora na wenye viwango?🤣🤣🤣
Kweli wenye akili ni wawili tu uko utopoloni,IHEFU ilinunuliwa na mwigulu ili nyie utopolo mpumue na kipigo cha uko usangu estate,ndo ikaitwa singida black star,mnajipiga kidole uko nyuma mwiko kisha mnajinusa harufu
Mtu mzima ovyooo,watu wako Dubai ila wamejituliza hawawabezi wanaoishi buguruni malapa,mwananyala na kinondoni moscow we unaishi kwa shemeji yako buguruni sheli maneno kibao
Watoto wa baba mmoja,kila kitu kimeshapangwa usiku ni utekelezaji tu,ligi yetu imekuwa ya kuchezwa nje ya uwanja,gsm anajiona yuko bora kwa kununua waamuzi
Mkuu mbona unapotosha watu?! Hakuna wilaya kahama vijijini na wilaya ya ushetu,mkoa wa shinyanga una wilaya 4,shinyanga mjini, shinyanga vijijini,kahama na kishapu,vilevile hakuna jimbo la kahama vijijini,majimbo ya mkoa wa shinyanga,shinyanga manspaa,mbunge wake patrobas katambi,solwa ni yule...
Ukisoma coment za wanautopolo wanafurahia sana huu ubebwaji wao,wantamani kila mechi iwe hivi,hersi na gsm wanaharibu sana ligi yetu,wamekuwa wapolaji wa haki ili tu waonekane ni bora,klabu bingwa hio inakuja mtapigwa nje ndani sana
Mwizi hapendi kabsa kuibiwa,wanaumia wa kufanyiwa figisu je wapinzani wao hawana moyo huo?rejea kauli ya Nape na mkuu wa wilaya Longido,tunaongozwa na tusiowachagua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.