habari mkuu, Hope mnaendelea vizuri, suala lako la kutaka kufunga ndoa ya kiserekali ulikamilishaga, mm pia nahitaji kufanya hvo kwa ajili ya kumkatia mke bima ase. Nlikuwa naomba Muongozo
Yaani nina siku nyingi sijaingia twitter sas juzi bhana nikataka nichungulie tena kule, sas mimi nagoogle twitter wenyewe wanaleta × sas nkahisi hyo ni scam, nkawa natafuta kwingine kila nkiandika wanaleta hvo hvo duu, kumbe bhana wamebadili
Fafanua kidgo mkuu. does it means ubinafsi unaua connections hivyo ndoto inashindwa kutimia? au Baraka unakosa kwa sababu ni mbinafsi or what? eleza kidogo mkuu
is the best speaker i have found, am not doing all he is saying but am wishing, and i know just wishing is one of the steps.
a always wished everyone to listen the man. His english is simple to undetstand
God bless him.
1. isnt lack of money is proble, is lack of knowledge
2. to pesmistic...
Mkuu nakubaliana na ww kabsa, i once started a thread "nataka kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa tu"
Tatizo kubwa ambalo tunalo ni addiction na hii mitandao, unapoteza pesa lakini mbaya zaidi unapoteza muda pamoja na focus. Unakuta siku imeisha hujafanya cha maana zaidi ya kushinda kwenye...
haikuandikwa usifanye ushoga maana Mungu hakudhan kabisa kuwa kiumbe huyu angewaza na kufanya kitu ambacho hata mnnyama hafanyi, however curiosity killed the cat
Yes inaweza kwa kutegemea vitu vingi lkn
kwanza kinacho be affected ni sperm count, hayo mengine ya morpholoy, motility nk hakuna shda.
Kumbuka mwanaume anapoejaculate huwa anamwaga 2 to 5mls (like kijiko cha chai) of semen ambazo zinacontain 100 milion sperm in healthy man.
Then hzo sperm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.