Nikushauri tu kabla ya kujibu sms ya mtu hebu jaribu kupitia kwa kina kile alichokiandika, Siyo kupitia tu bali fanya tafakuli ya kile alichokiandika, Ukifanya hivyo kuna maswali mengine hutauliza tena.
Khs mechi ya round ya kwanza kama Yanga waliomba idhini ya kwenda kufanya mazoezi, Kwanza...
Yes!! Simba walisema hawatocheza mechi husika na kweli hawakucheza!!! Khs mambo ya wewe kufuatilia Derby na kuona ati huwa hawaji kufanya mazoezi bado haizuii timu kufanya mazoezi hayo na si sababu ya kuzuia mazoezi kufanyika. Khs kama kanuni inaruhusu timu isicheze ikizuia kufanya mazoezi...
We ndiye usiyejua Kiswahili au ni kigumu kwako!! Paragraph ya mwisho ina sentensi mbili tu na sentensi zote zina ujumbe tofauti. Sentesi ya kwanza inaelezea ya kwamba Simba hawatoshiriki mchezo husika (kwa maana ya mchezo huo wa tarehe 8). Sentesi ya pili Simba inahimiza kuchukuliwa kwa hatua...
Unafanya kazi ya kuwapokea Kaizer Chiefs, Kuinanga Simba dhidi ya Berkane (second meeting) akiwa na kina Kisinda, Inafanya kazi kwa kukubali kubebwa kama mfalme na Wana Yanga? Au wewe ubongo kufanya kazi unamaana ipi?
Huyu hana cha akiki kufanya kazi na akiwa na madaraka makubwa ni mtu hatari...
Muwe mnasoma na kuelewa, Press release ya Simba haikusema hawatocheza mechi mpaka waliosababisha hayo washughulikiwe bali ilisema hawachezi mechi ya tarehe 8, Nawakahimiza Waliodababisha kadhia ile wachukuliwe hatua (Elewa neno kuhimiza ).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.