Recent content by Mayuri

  1. Mayuri

    GE2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

    Huyo Aden sasa ndio angeleta joto kwa upinzani sababu anakubalika sana na wanatunduma aswaa masuhala ya kijamii!
  2. Mayuri

    GE2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

    Unawajua watu wa tunduma vzr?? Wale ata waekewe tofari na mgombea yoyote wa ccm litapita tofari mapema asubuhi! Kwanza uyo Silinde ata kwao hawamtaki sembuse tunduma kwenye vichwa ngumu.
  3. Mayuri

    Madada wa kishua wote wakali!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una laana wewe! Kwahiyo maza na sister zako nao kina Mwajuma chupi kubwaa??!
  4. Mayuri

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mimi nahitaji supplier ninunue then mnisafirishie.....unanisaidiaje apo?!!
  5. Mayuri

    Unakereka na nini ukifanyiwa wakati wa kufanya mapenzi

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sio pepo basi tu mbwembwe za mahaba na alinielewa sana....sema ndii ivyo tena mimi mshamba sipendi mambo mengi! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mayuri

    Unakereka na nini ukifanyiwa wakati wa kufanya mapenzi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zero umenikumbusha jamaa mmoja hiv alinilamba kikwapa na miguu, aisee alinikera basi ninavyojinyonga kukataa ndio kama namwambia nasika utraamu endelea....nilivyotoka apo ikawa talaka yake na block juu. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mayuri

    Ukweli mchungu: Mama yangu mzazi alijiuza kwa baba yangu mzazi

    Corona imeacha kuminya mbavu sasa inaminya kichwa huyu atakuwa mmojawapo aliyekimbia Amana Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mayuri

    Mabadiliko ya harufu ya uke husababishwa na nini?

    Mswaki unapiga kwa usahihi??! Tatizo ni wewe iko kinywa chako na izo sperm zako zinasababisha mwenzio kunuka....... Sasa cha kufanya uwe msafi km colgate haifanyi kazi mix na sanitizer huwenda una corona[emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mayuri

    Hivi wanawake huwa mnawachukuliaje wanaume wasiokunywa pombe kabisa?

    Sitaki ata kuwasikia wana vilevi vyao hao...!! Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mayuri

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Masikhara ni jambo ambalo hamjapanga wala kutarajia km litatokea na hakuna bills zozote zitakazolipwa baada ya tendo kutokea. Sasa watu wanatongozana mpk wanapanga sehemu ya kukutana alafu useme masikhara?!! Ebu tambaeni na beat basi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Mayuri

    Wanandoa wanatakiwa wafanye tendo la ndoa mara ngap kwa siku?

    Kwakweli Wenzetu wanaumiza vichwa wagundue vitu gani vya kuleta maendeleo sisi tunawaza kudindishana na kukojoleana mara ngapi utasema ni dozi [emoji16][emoji16][emoji16] mara kulana kimasikhara! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mayuri

    Nimegundua baba alimharibu (sexually abused) ndugu yangu wa kike

    binti kiziwi, Kweli kabisa kuna watu humu ni tabia zao, jitu halina ata aibu linatengeneza mazingira ya kutetea wabakaji km na wao sio miongoni mwao ni nini?!! Eti labda mkewe kamnyima unyumba mara oohoo sio mtoto wake. Hivi ayo yote yanahusiana vipi na kumbaka mtoto km sio tabia chafu tu za...
  13. Mayuri

    Nimegundua baba alimharibu (sexually abused) ndugu yangu wa kike

    Kuna watu humu mnatoa ushahuli km ni jambo tu la kawaida!! Hivi mnajuaje kuhusu watoto zenu hawafanyiwi ukatili km huu na wapumbavu wengine km baba wa mtoa post? Dawa ni kumueleza mama yenu ukweli afe na presha iyo yeye ila ukweli uwekeni wazi ni bora mpate aibu ya kifamilia lakini mkaokoa...
  14. Mayuri

    Kama umewahi kufumaniwa na mpenzi wako pitia hapa

    [emoji478] Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Mayuri

    Nampenda lakini nataka kumuacha kwa kukosa kwake 'focus' katika maisha

    Ebu acha kujitwisha zigo la misumari....utalia baadae Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom