Ukiruhusu mapenzi ya kuumize utaumia sana. Sema kuumia hua kunaanza pale umempenda sana demu umemtongoza amekubali mnaishi fresh halafu baadae anaanza kugeuka tabia mdogo mdogo kumbe kuna kidume kinapeleka moto hatari 😀😀😀😀😀 ukiijua hiyo utaumia saaaana
NAOMBA USOME KWA UMAKINI KABISA
Kwanza kabisa Hakuna pesa inayo patikana kiurahisi ,ukiona matangazo kwenye mitandao ya kijamii kama Fb , twitter, instagram wanatangaza kuhusu matumizi ya SMART PHONES ili kujipatia kipato bila kuathiri muda wako wa kazi, tafadhali usiyafuatilie wala kuya tilia...
Wazee mambo vip?
Leo naomba kuuliza kwamba hivi kuna wafanyabiashara kariakoo wanao nunua bidhaa kama vile simu na Tv (electronics ) kwa bei ya jumla zanzibar ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.