Recent content by Mayova

  1. Mayova

    Kuweni makini na hii kitu imeingia inaitwa "" 26 pesa""

    Mwanangu we acha tu yani wanabadlisha muundo nakuonekana ni mpya kila siku
  2. Mayova

    Kuweni makini na hii kitu imeingia inaitwa "" 26 pesa""

    NAOMBA USOME KWA UMAKINI KABISA Kwanza kabisa Hakuna pesa inayo patikana kiurahisi ,ukiona matangazo kwenye mitandao ya kijamii kama Fb , twitter, instagram wanatangaza kuhusu matumizi ya SMART PHONES ili kujipatia kipato bila kuathiri muda wako wa kazi, tafadhali usiyafuatilie wala kuya tilia...
  3. Mayova

    Bei za jumla za vifaa vya electronics kama simu na TV Zanzibar

    Wazee mambo vip? Leo naomba kuuliza kwamba hivi kuna wafanyabiashara kariakoo wanao nunua bidhaa kama vile simu na Tv (electronics ) kwa bei ya jumla zanzibar ?
  4. Mayova

    Kipi bora kati ya Meta AI na ChatGPT?

    Wazee wa mji naomba kwa uzoefu wenu ipi ni nzuri kati ya Meta AI na ChatGpt kwa kutafuta majibu ya mambo mbali mbali ?
  5. Mayova

    Kipi bora kati ya Meta AI na ChatGPT?

    Wazee wa mji naomba kwa uzoefu wenu ipi ni nzuri kati ya Meta AI na ChatGpt kwa kutafuta majibu ya mambo mbali mbali ?
  6. Mayova

    Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Halafu namba yake ya Whatsapp anayotumia ukipiga wanasema haipo ndo uoga unapo anzia
  7. Mayova

    Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Poa ngoja nitume then nitawapa mrejesho soon narudisha majibu hapa
  8. Mayova

    Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Kwaiyo mwanangu unanishauri nitume ?
  9. Mayova

    Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Sema hapo kwenye wajinga ndio waliwao ndo panaleta shida 😀😀😀😀
  10. Mayova

    Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Jamaa ananambia buku 6 na jelo tu GB 40😀😀😀
  11. Mayova

    Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    HABARI BOSS! 🌟 Leo kuna ofa maalum kwa ajili yako ~13,000/=~ LIPIA LEO 6,500/= TU! UPATE: GB 40 za intaneti isiyo na kikomo! 🌐 DAKIKA 3,100 za kupiga simu mitandao yote! SMS BILA KIKOMO kwa marafiki na familia! 💬 MIEZI 2 ya huduma bora na ya uhakika! MTANDAO WOWOTE nakunganisha...
Back
Top Bottom