Recent content by Mayova

  1. Mayova

    JamiiForums Tanzania Hivi Kweli Mapenzi ni kitu cha kumliza Mtu?

    Ukiruhusu mapenzi ya kuumize utaumia sana. Sema kuumia hua kunaanza pale umempenda sana demu umemtongoza amekubali mnaishi fresh halafu baadae anaanza kugeuka tabia mdogo mdogo kumbe kuna kidume kinapeleka moto hatari 😀😀😀😀😀 ukiijua hiyo utaumia saaaana
  2. Mayova

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini na hii kitu imeingia inaitwa "" 26 pesa""

    Mwanangu we acha tu yani wanabadlisha muundo nakuonekana ni mpya kila siku
  3. Mayova

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini na hii kitu imeingia inaitwa "" 26 pesa""

    NAOMBA USOME KWA UMAKINI KABISA Kwanza kabisa Hakuna pesa inayo patikana kiurahisi ,ukiona matangazo kwenye mitandao ya kijamii kama Fb , twitter, instagram wanatangaza kuhusu matumizi ya SMART PHONES ili kujipatia kipato bila kuathiri muda wako wa kazi, tafadhali usiyafuatilie wala kuya tilia...
  4. Mayova

    JamiiForums Tanzania Bei za jumla za vifaa vya electronics kama simu na TV Zanzibar

    Wazee mambo vip? Leo naomba kuuliza kwamba hivi kuna wafanyabiashara kariakoo wanao nunua bidhaa kama vile simu na Tv (electronics ) kwa bei ya jumla zanzibar ?
  5. Mayova

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kati ya Meta AI na ChatGPT?

    Nakubali
  6. Mayova

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kati ya Meta AI na ChatGPT?

    Wazee wa mji naomba kwa uzoefu wenu ipi ni nzuri kati ya Meta AI na ChatGpt kwa kutafuta majibu ya mambo mbali mbali ?
  7. Mayova

    JamiiForums Tanzania Kipi bora kati ya Meta AI na ChatGPT?

    Wazee wa mji naomba kwa uzoefu wenu ipi ni nzuri kati ya Meta AI na ChatGpt kwa kutafuta majibu ya mambo mbali mbali ?
  8. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Halafu namba yake ya Whatsapp anayotumia ukipiga wanasema haipo ndo uoga unapo anzia
  9. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Poa ngoja nitume then nitawapa mrejesho soon narudisha majibu hapa
  10. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Kwaiyo mwanangu unanishauri nitume ?
  11. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Kweli mzee ?
  12. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Sema hapo kwenye wajinga ndio waliwao ndo panaleta shida 😀😀😀😀
  13. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Gusa achia mtu apate ya krismass
  14. Mayova

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Jamaa ananambia buku 6 na jelo tu GB 40😀😀😀
Back
Top Bottom