Recent content by Mayombya Jr

  1. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Mbarali: Mkutano Mkubwa wa hadhara wa CHADEMA wavunja rekodi ya mahudhurio

    Vp Erythrocyte wameongelea na kuelimisha watu kuhusu umuhimu wa katiba mpya kweli au?
  2. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Ni muda muafaka kupeleka hoja ya kuwa na serikali ya Tanganyika

    Baada ya kumezwa Zanzibar nchi iitwe People Republic of Tanazania badala ya JMT
  3. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Ni muda muafaka kupeleka hoja ya kuwa na serikali ya Tanganyika

    Naunga mkono serikali moja, Zanzibar ichukuliwe haraka, yaani ijumuishwe ndani serikali ya JMT, lkn jina ibadilike iitwe Jamhuri ya watu wa Tanazania
  4. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Tusikimbilie tu maslahi, Walimu tushirikiane kuisaidia Serikali kuhahakikisha mtoto wa kike anapata elimu itakayomsaidia katika maisha yake

    Wewe ndio ujamuelewa mleta mada, ameongelea malalamiko ya walimu kuhusu maslahi, ndio akazungumzia shida na tabia zao chafu. Mfano kule Ikunguigazi Wilayani Mbogwe-Geita kuna mwalimu mkuu ambaye amembebesha mimba mwanafunzi na kesi kuishia kwa WEO. Yeye ameonyesha kutokubaliana na madai yao...
  5. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mbogwe: Mwanafunzi apewa mimba na Mwalimu Mkuu, watendaji wapokea rushwa kuficha tukio

    Acha ukichaa mtu kaleta mezani huuni unaofanywa na watendaji, wewe unaanza kupayuka au wewe ndo WEO aliyetajwa?
  6. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mbogwe: Mwanafunzi apewa mimba na Mwalimu Mkuu, watendaji wapokea rushwa kuficha tukio

    Acha utabiri wako wa uongo hapa, iachie serikali ifanye yake ukweli ujulikane ndo uje urudi hapa useme ni uongo au laa Naona umejitoa ufahamu kujitetea mwalimu, mleta mada hana ugomvi na mtu ila ameleta mezani uchafu unaofanywa katika ofisi ya mtendaji wa kata sawa. Sasa wewe kama umevimba...
  7. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

    Hatujapenda kwakweli ifike mahala tuwajibike, ndo maana unakuta matendo machafu yanafanywa na watendaji nchii hii lakini uwa zinafunikwa tu
  8. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Tusikimbilie tu maslahi, Walimu tushirikiane kuisaidia Serikali kuhahakikisha mtoto wa kike anapata elimu itakayomsaidia katika maisha yake

    Ndio mpambane ili serikali iwawekee posho pia kama TA iliokwepo zamani ili muweze kupata pia ya kuonga malaya kuliko kuishia kuwabebesha mimba watoto wetu
  9. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

    Sio Mahera tu, wenye tuhuma ni wengi sana ambao wanatakiwa waondoke kwenye ofisi za umma kupisha uchunguzi dhidi yao, mfano ni huyo Silinde, etc
  10. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

    Hivi kweli kiongozi wa umeshutumiwa kuhusika na matendo machafu ambayo hatakubaliki katika jamii lakini bado unapewa tu uongozi Silinde anatuhumiwa hivyo hafai kuendelea kuwepo katika ofisi ya umma, hii ni kulindana
  11. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

    CWT hawajitambui hawapo kwa ajili ya walimu, wapiganie posho yaani Teaching Allowance Walimu wana hali mbaya, hivi serikali kwa mtazamo wao wanafikiri elimu itaboreka kwa kuweka policy ya divide and rule? Kwamba mwalimu mkuu apewe posho alafu wengine wengi waachwe, hapa kuna shida nakwambia
  12. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

    Hii posho ya madaraka kwa walimu wakuu,ndi tatizo lingine kwa walimu, walimu wanarogana kisa madaraka, wanabambikiziana vikesi vya ajabu kisa posho ya madaraka. Niombe serikali ya awamu ya tano hii posho ni divide and rule policy ya mkoloni wote walimu wapewe posho katikati ya mwezi hata kama...
  13. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania Tuungane Kwa pamoja kuwasemea walimu, wanakufa na njaa huku

    Kuna uzi nimetupia humu uitafute, na uje na ushauri pia kwa serikali
  14. Mayombya Jr

    JamiiForums Tanzania NHIF huwezi katia bima wategemezi waliopo kisheria mfano mama akibadili jina

    NHIF ni tatizo lingine watumishi wa nchi hii, ni kichaka cha kurudisha nyuma maendeleo ya watumishi wa nchi hii. Kwanza waruhusu mtumishi hata kama una watoto kumi wote waweze kupata huduma. Hili NHIF kuwa na idadi ya wategemezi hasa upande wa watoto ni tatizo na ni janga kwa mtumishi, ni...
Back
Top Bottom