Hata hivyo hiyo ni mbaya na hatari kwa maendeleo ya nchi yetu.Tuache mihemko,demokrasia ya vyama vingi ni takwa la lazima katika ulimwengu wa sasa.Na watu hata hawajiulizi ni kwa nini ilibidi lazima tuwe na wale walioitwa COVID-19 bungeni.
Yamekuwepo mazoea mabaya sana ya kutowafuatilia wanafunzi wanaoshindwa katika mitihani ya upimaji ya kidato cha pili.Yaani mtoto na mzazi wanaamua wenyewe kama iwe mwisho wa kusoma au arudie darasa.kunakuwa hakuna ulazima tena.
Hali hii imejengeka na kuwa mazoea kiasi kwamba hakuna...
Msaada Kwa wataalam husika juu ya hili tatizo.hydraulic ilivuja ghafla,mafundi wakabadilisha hiyo seal kwenye gear box.Lakini baada ya kutembea masafa kidogo ikajirudia.Shida yaweza kuwa nini hapa wataalam.
Naombeni msaada wataalam.Ninapata maumivu ya kichwa na mabega kuanzia jioni ya saa kumi.sina homa ingawa naishi na kisukari kwa muda mrefu na kipo well controlled.Nimepima malaria sina,uwingi wa damu ni 14g.Yaweza kuwa shida gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.