Asa umemshangaa kivip? Kwanza nampongeza jamaa ana heshimu bajeti na ratiba zake,kwnn?,mtu nilikuwa sina ratiba ya matumizi hayo nimeitwa kwa kiherehere chenu kwahyo unataka nisaliti mipango yangu ili kukufrahisha ww?
Huyu mwenye hii post nahis kama anacheza minds game, kwann?,for first time anaweka tangazo nilichukua namba ambayo aliweka ili tumtafte ila kwa bahati mbaya ukimpigia simu anasema yeye hana kiwanja hicho na hajui jambo lolote kuhusu kuuza kiwanja .
Ww ni mjinga na hata andiko lako lina dhihirisha upumbavu wako,,embe nipe maana wasukuma kuwa washamba,, nyie Vitoto mnaozaliwa njiti kifikira mna matatzo sana ,,Wasukuma ni jamii iliyoamua kukubali kuishi maisha yao yatamaduni zao za asili bila ku feki maisha ww uko tandika mbavu za...
FUMIGATION ina jumuisha mambo mawili
1.Kunyunyiza
2.kufukiza
Watu wengi wamewahi kuona FUMIGATION ya kunyunyiza ila hawajui kuhusu FUMIGATION ya kufukiza,,,
Hii inasababishwa na ukosefu wa Elim katika jamii kuhusu jambo hili.
Kwa mfano kuna watu wengi hupita mitaani na kujinasibisha kuwa...
Waswahili swqhili wengi ni wapumbavu sana ,,yaani jamii flani ikiamua kuishi katika tamaduni yake inaitwa washamba ,,wasukuma siyo washamba ila wameamua kuishi katika uhalisia wao hawataki kue dit maisha asa wee mjinga mjinga ndo unaona huo ndo ushamba,,,okay umeulizwa toa maaana...
Jana ndo nimeamini kuwa ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni,,,
■Mkiristo una mlilia mtu anayeeitwa mchungaji na mpaka unaandamana????
■Jana ndo nimeamini kwenye ukristo wetu tuna watu wengi wajinga kuliko hata wanaojielewa na kuelewa misingi na ethics za imani yetu.
■Jana ndo nimekumbuka...
Hata Mussa aliazisha safari ya kutoka misiri kwenda kanaani ila hakufika ,so mm naona watu wengi mnasumbuliwa na ujinga uliojaa giza nene kuhusu imani,,,can you imagine mtu mzima na akili yako eti unalia na kuandamana eti kisa mchungaji kuhama aisee!!!Mungu atusaidie,,lia Mungu akikuacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.