Habari wana JF,
Nimekuwa nikijaribu sana kuweza kuotesha mazao mbalimbali katika bustani yangu Salasala hii yote ni kutaka kujifunza zaidi kwasababu ni kazi nayoipenda sana.
Zoezi 1
Nilijaribu kuotesha mbegu mbalimbali za machungwa, chenza na limao kupitia machungwa tunayokula na pia...
Mimi iko tofauti kidogo sasahivi Nikiweka vocha bila kujiunga haki ya mungu internet haifunguki hadi nijiunge sijajua kwanini hata pawe na salio lazima kwanza nijiunge ndo nipate huduma
Bei nzuri kabisa sema wote waliokoment hakuna wanunuzi ila kila la heri hilo duka liko vizuri na mazingira rafiki ni ubunifu wa mnunuzi tu kuongeza huduma
Mimi nina desktop kubwa ina hard disk gb 500 inaweza ikatumika kwenye shughuli mbalimbali hasa za cd na nyingine nyingi vipi tunaweza ongea tukaganya exchange?
Hapana siwezi kimbia navyo kwasababu niliangalia kwanza sehemu ninayo ishi nikaipa kipaumbele lakini sehemu yoyote ile napiga kazi vizuri tu haina shida ema lazima muwekezaji tamshauri kama ina faa au vipi kama ina faa kazi tuna piga mana naangalia location jee ni rafiki? kama ni rafiki tuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.