Yaani we jamaa hupaniki na wala hutumii lugha chafu, walio wengi wanaojaribu kubishana na wewe naona wanatumia hata lugha za kuudhi na kejeri lakini wewe unawajib kwa staha na kwa Weledi na mifano !! Ahahaha mi imebidi niwe msomaji tu sasa .
Nimesoma Uzi wako wa awali, nimesoma jinsi unavojibu kwa Hoja, niishie kusema una uweledi wa halia ya juu katika sanaa ya mabishano na kujenga Hoja, hata kama kuna baadhi ya point inaweza kuwa ngumu kuamini kwa sababu kadha wa kadha lakini nabaki kukiri wewe ni Mjenga Hoja mzuri sana Ndg...
"....kama hamtaniambia mamlaka ya Yohana yalitoka wapi, nami sita waambia mamlaka haya yanatoka kwa nani"
Busara inaishi nawe kwa jibu lako hilo la kikristo.
BARIKIWA SANA MKUU
Kaka unitag, niliwahi ambiwa na jamaa flani wa JW kuwa kuna watu ni watakatifu na wana wasiliana na MUNGU live, nao watakuwa miongoni mwa wale 144,000 watakao tawala pamoja nae...
Ni ajabu sana aisee
DAH: ELIMU MNAYOTOA NYIE WATU WAWILI NI YA PEKEE SANA, napenda mnavojadiri kwa kutumia hoja na mistari kutoka kitabuni!!! Ni ajabu sana, MUNGU awatunze aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.