Habari,
Natafuta mwenza wa maisha. Ambaye tutapendana kwa dhati umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Mm ni mfanya biashara mwenye umri wa miaka 37. Karibu pm tuyajenge
Naitwa kelton natafuta rafiki wa kike baadaye aje kua mkewangu,
Elimu yangu darasa la Saba, mjadiriamali mdogo,umri 31,mahali,nilipo dar . Sifa nimtakaye awe tyr kupima HIV,mwenye upendo wa kweli.
Kama upo tyr njoo pm tuyajenge ,
Habari, natafuta mke wa kuoa umri wangu ni miaka 30',elimu yangu niyakawaida, kazi nimejiajiri Karibu sana, mke Awe na umri 25-28,karibu sana. Wasiliana nami Kwa Namba 0689899165 Au pm
Watakao ungana ni watu wakubwa sana,sio wa kuokota makopo kama tutapofikia kus na kiwwnda hicho.muungano wetu katika suala zima namna ya kufika malengo watao kua watayari tuta kaa kikao nakujadili tutumie njia ipi positive ili kukamilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.