Recent content by Maxence Melo

  1. Maxence Melo

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Anza kwa kuwashughulikia kwa kusaidia kuondoa posts zao wewe. Do not entertain them, report na immediately posts zao zitapotea na wengine hawataona matusi
  2. Maxence Melo

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Nimecheka sana. Ndo maana tumeweka hizi tools. Usijichoshe mkuu wangu; tena kwa status yako - post ukii-report mara moja tu, instantly inaondoka online hadi iwe reviewed. Pole, ila umenichekesha sana
  3. Maxence Melo

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Life ban itakuwepo endapo kutakuwa na “gross violation of our community engagement guidelines”. Zisome hapa - JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
  4. Maxence Melo

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Mkuu, Si mimi, yaani hata uniite MFIA DINI sina shida, naitetea haki yako ya kunifikiria upendavyo. Umma ukiripoti kwa wingi kuwa unawakwaza, hatuna namna ya kulipitia bandiko
  5. Maxence Melo

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Hahaha, ila naomba tool itumike vema. Naona Lucas Mwashambwa ameshakuwa reported several times na posts zake hazichukui sekunde
  6. Maxence Melo

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Kwa sasa ni community moderation; huenda wafia dini wameli-report :cool:
  7. Maxence Melo

    Shiriki Katika Kudumisha Ubora na Usalama wa JamiiForums, tumia REPORT button

    Wakuu, Salamu nyingi kwenu, wanachama (wana JF) na wageni wote mnaotembelea JamiiForums! Tunayo furaha kubwa kuendelea kuwa nanyi katika jukwaa hili muhimu ambalo limekuwa kitovu cha fikra, maarifa, na uhuru wa kutoa maoni kwa staha. Ili kuendelea kufurahia mijadala yenye tija na kuhakikisha...
  8. Maxence Melo

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Umewezaje ku-comment? Endelea hivyo, ndo maisha mapya! Pole sana
  9. Maxence Melo

    Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

    Watapata access to Premium Content (coming soon, next week). Something worth $$$$$
  10. Maxence Melo

    Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

    Kongole kwa kuwa active on JF tangu 2007. Platinum Membership awarded
  11. Maxence Melo

    Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

    Tutafanya hivyo. Imeisha hiyo :cool:
  12. Maxence Melo

    Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

    Kabisa mkuu, ukiwaona walio ACTIVE nishtue tafadhali
Back
Top Bottom