Anza kwa kuwashughulikia kwa kusaidia kuondoa posts zao wewe.
Do not entertain them, report na immediately posts zao zitapotea na wengine hawataona matusi
Nimecheka sana.
Ndo maana tumeweka hizi tools.
Usijichoshe mkuu wangu; tena kwa status yako - post ukii-report mara moja tu, instantly inaondoka online hadi iwe reviewed.
Pole, ila umenichekesha sana
Life ban itakuwepo endapo kutakuwa na “gross violation of our community engagement guidelines”. Zisome hapa - JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
Mkuu,
Si mimi, yaani hata uniite MFIA DINI sina shida, naitetea haki yako ya kunifikiria upendavyo.
Umma ukiripoti kwa wingi kuwa unawakwaza, hatuna namna ya kulipitia bandiko
Wakuu,
Salamu nyingi kwenu, wanachama (wana JF) na wageni wote mnaotembelea JamiiForums! Tunayo furaha kubwa kuendelea kuwa nanyi katika jukwaa hili muhimu ambalo limekuwa kitovu cha fikra, maarifa, na uhuru wa kutoa maoni kwa staha.
Ili kuendelea kufurahia mijadala yenye tija na kuhakikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.