Mkuu kunamda tunamchungaza kwanza Bata usije kula nyama ya punda badala ya Bata,kumjua adui hua ni ushindi mkubwa sana,hata ukiamua kumfundisha utachagua njia gani ya kumfundisha na akakaa sawa bila kuleta madhara
Mkuu niliwai fika hatua mbaya sana ad kuwaza kujeruhi au kuua mtu kisa kuumizwa/usaliti,
Hii inanifanya niwe makini sana kumtambua mtesi wangu wa badae kabla sijaingia matatizoni,hivyo vetting before trust ni lazima
Kifupi tu nilikutana na Binti mtaani nikashoboka namba, akanipa mtoto ni pisi iliyonyooka mavaz juu kafunika Hadi macho(ila si muislam)
Nikaomba urafiki akanikubalia, nikaenda chapu kwenye lengo kuu(sex), mtoto kagoma anaitaj ndoa, akaanza kuniingia kwa fikra, ananishauri mambo makubwa...
Mkuu lengo la interview ni kupunguza watu,unazani watatumia njia gani kupunguza watu,
Miaka yetu tulikua tunazama kwenye interview unaulizwa shati lako linavisikizo vingapi,ukikosea ni out,
Hivyo lengo la interview ni kupunguza watu,mjiandae na maswali yoyote
Hua ni tiba naisi ya Typhoid,niliwai pata homa nikapiga mseto dozi mbili lakini wapi,Ile namaliza dozi nilipata homa Kali baridi Kali nilitafuna punje kama 6 ndani ya nusu saa homa yote kwisha,ila nilisweti balaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.