Ifike pahala sasa tutambue ya kwamba ni Muda wa Kui inua Bongo Flava Yetu na sio kuikandamiza kwa hizi team zenu Ushuzi mtupu. Kwani Mavoco Kuwa chini ya WCB ama hata huko kwa Mavi gani kuna shida gani kama Muziki wake utazidi kukua na Kuzid kuingiza kipato? Kwan msanii kuwa Chini WCB ama Lebo...
Me naona swala hili ni simple sana, Maamuzi yaliyotolewa na tume ya uchaguzi Zanzibar yanapaswa kufutwa, kwa kuwa tume hiyo iliyaona matatizo yaliyojitokeza na kuamua kufuta matokeo hayo.. sasa sioni haja ya kuwa na mvutano wa vyama hivi vikubwa hapa nchini maana tukisema wakae chini kujadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.