Wewe kura laki tano unataka siku ngapi kutangaza.
Tunafaa tuwe na haki nchi hii yetu sote. Majimbo ya upinzani mpk watu waandamane ndo mtangaze.
Seif kashinda na ukweli haupingiki.
Kama unapanda jukwaani na kumnadi Chenge, Mpiga dili wenu na dili zote yuko ndani, yako wapi Mabadiliko apo. Think beyond ua feelings. We will change the system na sasa imebaki mbadilishe CCM to CDM cz hata jina la chama chenu mnaogopa kulitumia.
Kutumia M4C ni kujidhalilisha maccm coz hamna mbinu na mnacopy na kupaste. M4C mmekubali mapigo ya Chadema na Magufuli anatamani mziki mnene, aje tu M4C yenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.