Recent content by Mavericks

  1. M

    Sauti ya Ujerumani ifungiwe matangazo yake Tanzania

    Wewe kura laki tano unataka siku ngapi kutangaza. Tunafaa tuwe na haki nchi hii yetu sote. Majimbo ya upinzani mpk watu waandamane ndo mtangaze. Seif kashinda na ukweli haupingiki.
  2. M

    Tume kutangaza matokeo ya urahisi kila kituo cha kura nchini

    Mawakala wa ukawa msituangushe
  3. M

    Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

    Kama unapanda jukwaani na kumnadi Chenge, Mpiga dili wenu na dili zote yuko ndani, yako wapi Mabadiliko apo. Think beyond ua feelings. We will change the system na sasa imebaki mbadilishe CCM to CDM cz hata jina la chama chenu mnaogopa kulitumia.
  4. M

    Haijawahi kutokea: Lowassa ashusha Tsunami Bariadi kwenye mkutano wa kampeni

    Kutumia M4C ni kujidhalilisha maccm coz hamna mbinu na mnacopy na kupaste. M4C mmekubali mapigo ya Chadema na Magufuli anatamani mziki mnene, aje tu M4C yenyewe.
  5. M

    Nani atumike kuzuia mafuriko

    I’d rather welcome change than cling to the past. #Change
  6. M

    Siri ya umaarufu na ushindi wa Lowassa

    I’d rather welcome change than cling to the past. #Change #ChangeIsGood
  7. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Asante kwa mema mengi uliotutendea, tutaendelea kutoka hapo. Pumzika kwa Amani, Dr.
  8. M

    Lowassa, Duni wamsindikiza Seif kuchukua fomu za kuwania urais wa Zanzibar

    Hamna ukawa sema wewe lumumba usijifiche
  9. M

    Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

    Duuuh we mkali
  10. M

    Siri aliyonayo Moyoni na madhara yake kwa taifa

    Ccm hawana karata nyingine zaidi ya dini na ukabila. Ila mtu ukishamjua hakusumbui.
Back
Top Bottom