tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
- Thread starter
- #21
Lowasa hazuiliki. Mbinu za CCM zinakuwa chafu na watu watampigia kura Lowasa kwa kukataa uchafu wa CCM. Leo tukiangalia katika maneno yetu ni maneno yapi yametamkwa sana kati ya Magufuli na Lowasa. Hii ni advert kubwa kwa Lowasa.
Kesho Magazeti yote yatakuwa na neno Lowasa.
Popularity and sympathy zitampa ushindi Lowassa. Wapo watu hawawezi kutoka CCM kimwili but kimawazo wapo UKAWA. Kura zao kwa Lowassa.