Recent content by Mauza uza

  1. Mauza uza

    Yaliyojiri Miss Uganda 2019 Zari achemsha

    She always advertised her pussy on the stage!! Poor old bitch.
  2. Mauza uza

    Alichokifanya Irene Uwoya kwenye utambulisho wa Swahiliflix ni ushamba na urimbukeni wa pesa

    Source yake; pesa alizoacha marehemu Ndikumana. Hajui pesa uwa zinaisha.
  3. Mauza uza

    Hawa waliwahi kutamba sana awamu ya 4 na kutetemesha Jiji

    Huyu ndio Katunzi original pacha na mwenzake alifariki. Humu watu wanachanganya hawa na Muzammili ambae ni mdogo wao. Hawa pacha wameshika pesa kitambo sana wakati huyo Muzammili walikua wanamtuma bandarini hana kitu chochote.
  4. Mauza uza

    Hawa waliwahi kutamba sana awamu ya 4 na kutetemesha Jiji

    Arusha hamna kitu washamba tu wakishauza mawe yao. Mie nimesoma kule jamaa walikua wanapenda nguo za dukani kaa mapolisi vile. Ka mji kenyewe kadogo hata kwa Mwanza hakaingii eti leo washamba wa Arusha wanajilinganisha na Dar duuh..vijisenti kidogo kamji kazima katakujua.. sasa dar kuna watu...
  5. Mauza uza

    Hawa waliwahi kutamba sana awamu ya 4 na kutetemesha Jiji

    Nimeshawahi ishi Arusha, kuna washamba wengi sana wa maisha kule sio kama tunavoaminishwa hapa eti wajanja.. washamba sana tu.
  6. Mauza uza

    Balozi wa Tanzania nchini Kenya anajisikiaje!!

    Lingine muhimu huyo rais Magufuli aanze kutembelea wenzake kusaka fursa, amezidi sasa kujifanya yeye ni wa hapo hapo. Mtembea bure sio sawa na mkaa bure. And too much of anything is harmful yeye anajidai hatembelei wenzake siku akimaliza muda wake ataacha ombwe la diplomacy ifike sasa washauri...
  7. Mauza uza

    Ujerumani: Mtanzania afariki kwa kuchomwa sindano ya sumu kwa hiari

    Fake news, ndugu zake wameshakanusha hii news.. mod funga hii fake news
  8. Mauza uza

    Jambo hili linatofautisha USA, Uingereza na Tanzania

    Leo US na UK mnailinganisha na Tz... kweli hoja mmeishiwa sasa mmebaki kulia pia mitandaoni na haswa jami forum..ngoma inogile.
  9. Mauza uza

    Tetesi: Je, ni kweli kuwa siku hizi ukifanya miamala mikubwa benki unafuatiliwa hata akaunti kushikiliwa?

    Sio serikali hii tu, nchi zote duniani na haswa ulaya na US ukifanya muhamala mkubwa tu wa pesa siku hizi unafuatiliwa, Wanakuweka kwenye rada zao 24/7.
  10. Mauza uza

    Waarabu wangekuwa mbali kama isingekuwa kuchanganya dini na siasa

    Waafrika ndio wako nyuma kwa sababu ya kufuata dini sana kuliko maendeleo yao.. waarabu wako mbali sana kwa maendeleo kuliko hata wazungu, na wazungu wanafanya kila hila kuwarudisha nyuma. Tembea uone.
  11. Mauza uza

    Kwanini Watanzania (baadhi) wanajiona 'inferior' kwa Wanyarwanda?

    Ungesema kwa nini watz wenye asili ya Rwanda wanajiona inferior kwa wanyarwanda?? Sio watz wewe, mtz anamuona mnyarwanda pimbi tu.. wanawake zao wanawapenda watz balaa hadi waganda pia. Mnyarwanda akiwa na mtz anajiona na kujisikia yuko na jembe. East Africa yote watz wanaheshimika sana.
  12. Mauza uza

    Yaliyojiri Ikulu: Mazungumzo kati ya Viongozi wa dini nchini na Rais Magufuli

    Hangover ipi, wakati Lissu alichemsha hadi akawa anaambiwa muda unakwenda Ongea point... chezea wazungu wewe wamemdharau mbaya sana.
  13. Mauza uza

    Waziri Lukuvi: Marufuku kuzika kwenye vihamba Kilimanjaro

    Huyu Lukuvi msenge sana yeye ananiona kaa rais vile kutoa anti za kijinga jinga tu. Hovyo sana huyu mtu.
Back
Top Bottom