Huyu ndio Katunzi original pacha na mwenzake alifariki. Humu watu wanachanganya hawa na Muzammili ambae ni mdogo wao. Hawa pacha wameshika pesa kitambo sana wakati huyo Muzammili walikua wanamtuma bandarini hana kitu chochote.
Arusha hamna kitu washamba tu wakishauza mawe yao. Mie nimesoma kule jamaa walikua wanapenda nguo za dukani kaa mapolisi vile. Ka mji kenyewe kadogo hata kwa Mwanza hakaingii eti leo washamba wa Arusha wanajilinganisha na Dar duuh..vijisenti kidogo kamji kazima katakujua.. sasa dar kuna watu...
Lingine muhimu huyo rais Magufuli aanze kutembelea wenzake kusaka fursa, amezidi sasa kujifanya yeye ni wa hapo hapo. Mtembea bure sio sawa na mkaa bure. And too much of anything is harmful yeye anajidai hatembelei wenzake siku akimaliza muda wake ataacha ombwe la diplomacy ifike sasa washauri...
Sio serikali hii tu, nchi zote duniani na haswa ulaya na US ukifanya muhamala mkubwa tu wa pesa siku hizi unafuatiliwa, Wanakuweka kwenye rada zao 24/7.
Waafrika ndio wako nyuma kwa sababu ya kufuata dini sana kuliko maendeleo yao.. waarabu wako mbali sana kwa maendeleo kuliko hata wazungu, na wazungu wanafanya kila hila kuwarudisha nyuma. Tembea uone.
Ungesema kwa nini watz wenye asili ya Rwanda wanajiona inferior kwa wanyarwanda?? Sio watz wewe, mtz anamuona mnyarwanda pimbi tu.. wanawake zao wanawapenda watz balaa hadi waganda pia. Mnyarwanda akiwa na mtz anajiona na kujisikia yuko na jembe. East Africa yote watz wanaheshimika sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.