Recent content by Mautino

  1. M

    Kwanini UKAWA wanaonekana kuwa ni muhimu Bunge Maalum la Katiba sasa?

    Hoja yako mbona haina mantiki? Yaani ilikuwa sawa kwa CCM kutaka kuwaburuza watu wote halafu ni kosa kwa vyama vya upinzani kuungana kupingana na mawazo ya kijinga ya CCM? That's crazy.
  2. M

    Kwanini UKAWA wanaonekana kuwa ni muhimu Bunge Maalum la Katiba sasa?

    Acha uzushi. UKAWA ilianzishwa kama jibu la CCM kutamka wazi kwamba wanakuja kwenye Bunge la Katiba na msimamo wao juu ya muundo wa serikali. So far, it has proven to work!
  3. M

    Serikali Tatu: Ni mfano wa kutoka nchi gani duniani?

    Mdau, nadhani hukuelewa majibu aliyopewa huyu mpuuzi aliyeuliza swali. Marekani kuna serikali zaidi ya 50, ukiachilia mbali serikali za wilaya na manispaa zenye mamlaka kamili. Kwa hiyo hili swali ni la kijinga, hasa ukizingatia limetoka kwa mtu aliyekaa kwenye State ya New York. Huko Marekani...
  4. M

    Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya neno "intelligence" na "wisdom". Nadhani unachoongelea ni Lissu, kwa mtazamo wako, kukosa "wisdom". Sidhani kama Lissu siyo "intelligent" kama unavyodai. Maana kazi ya kumchambua na kumuweka "uchi" Nyerere, ambayo Lissu amefanikiwa, si ya kichwa cha kitoto. Hata...
  5. M

    Mwanasheria na Mbunge Wa Chadema Tundu Lissu Atuombe Radhi Taifa Amemdhalilisha Baba Wa Taifa!!

    Tusi gani ambalo Lissu alimtukana Nyerere? Clip ya hotuba iko Youtube. Eniwei, nani asiyejua unafiki wa Nyerere? Alidai Zanzibar wana haki ya kuhoji mambo halafu unamfanyia zengwe Mzee Jumbe kuhoji mambo hayo hayo? Siyo unafiki huo? Nyerere alikuwa mhuni na alimtumia Mzee Kawawa kufanya uhuni...
  6. M

    Kura ya Wazi na Uchaguzi wa Mwaka 2010

    CCM wana haki zote za kudai kura ya wazi. Lakini ni unafiki kudai uwazi pale tu ambapo inaonekana kuna manufaa ya kisiasa kwa CCM. Kama CCM wanataka uwazi, watupe mchanganuo wa idadi ya kura alizopata Kikwete na zile alizopata Dr. Slaa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010, au mnadhani tumesahau...
  7. M

    Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 (Tanzania Development Vision 2025)...

    Utadai vipi unataka kuipeleka Tanzania 2025 wakati mawazo yako yameganda 1964? Ni ujinga, ukiniuliza, kwa Mheshimiwa Sitta kudai kwamba uteuzi wake ndani ya CA unaenda sambamba na wingi wa wajumbe toka CCM. Wingi wa wajumbe toka CCM ni ukweli, lakini kama Mheshimiwa Sitta angekuwa na akili na...
  8. M

    Wanaopinga Serikali 3, Je, Marekani Wanafanyaje?

    Kuna tatizo moja ambalo tunalo sisi Watanzania, akili zetu zinaganda sana kiasi kwamba hatuwezi kupanua mawazo yetu kujifunza kwa wenzetu. Hivi, wanaoogopa serikali tatu, hawajiulizi nchi kama Marekani yenye serikali karibia 50 wanafanyaje? Isitoshe, mbona sasa hivi kuna serikali zaidi ya mbili...
  9. M

    Uraia wa nchi zaidi ya moja na kilichoko nyuma ya pazia la kisiasa Tanzania.

    Mkuu, afadhali wewe umejaribu kutoa mtazamo ambao una data/information nyuma yake tofauti na wengine ambao kusema kweli kupinga kwao uraia pacha kumekuwa ni ishara ya wivu tu, maana hawakuleta sababu hata moja. Kwa hiyo nakupongeza. Hoja za hofu si hoja za kujengea nchi. Watu wengi hapa...
  10. M

    Uraia wa nchi mbili na Rasimu ya Katiba Mpya: Toa maoni yako

    Kichuguu, kibaya zaidi, Wabongo hawataki kujadili hili suala katika context ya kwamba tunakuja na passport moja ya Afrika Mashariki kuanzia 2015. Je, kuja na pasi moja ndani ya EA wakati wenzetu wana dual citizenship ina impact gani kwetu? Tumebaki kuwaonea wenzetu wivu tu bila sababu ya msingi.
  11. M

    Zanzibar siyo NCHI - Jawabu ni A siyo B au C...

    Mkuu, mbona hata Nyerere mwenyewe hakuchelewa - yaani miaka mitatu tu tangu tupate uhuru, akakimbilia Muungano? Yote hayo uliyoyataja - gesi, elimu, n.k, ni muhimu. Lakini katika mazingira haya ya katiba mpya, muundo wa serikali ndani ya Tanzania ni kitu cha kujadiliwa. Besides, mabadiliko ya...
  12. M

    Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

    Do I have a crooked mind? Nah, far from it. Mkuu, uliuliza swali - ngoja nirudie swali lako " Huo urai wa huko ughaibuni waliupata kwa minajili gani?", nikakupa jibu na mfano halisi. Lakini naona mwenzangu umeamua kuchanja mbunga kwenye personal attacks. Huyo dada hakutekwa, bali aliamua...
  13. M

    Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

    Really? Mbona majibu yanatolewa kila siku lakini hamtaki kufungua masikio? Nikupe mfano mmoja tu. Kuna dada Mtanzania ambaye anafanya kazi NASA. Huwezi kupata kazi sehemu kama NASA kama hauna uraia wa Marekani. Huyu dada, ndugu zake WOTE wako Tanzania, lakini ilibidi apate kazi anayopenda na...
  14. M

    Chuki na husda dhidi ya wanaDiaspora

    Article 16 of the Kenyan Constitution states, “A citizen by birth does not lose citizenship by acquiring the citizenship of another country”. Habari ndo hiyo. Na huo ni mfano tu. Kwa maelezo zaidi hebu nenda hapa...
Back
Top Bottom