Recent content by Maundu

  1. Maundu

    JamiiForums Tanzania Huko Tehran jioni hii wamepigwa na kitu kizito kituo cha mafuta chateketea!!

    Hivi unaamini Israel hesabu zao zilienda sawa?na km kweli Israel waliwamudu wa Iran,lengo lao lilitimia?nachokiamini Israel na Marekani wanatamani hata leo waipindue serikali ya Tehran,na kwenye Ile vita Israel alipanga kufanya mapinduzi ya serikali ila ameshindwa na mbaya hakutegemea kupata...
  2. Maundu

    JamiiForums Tanzania Polepole ashtakiwe kwa kutoa siri za serikali kinyume na sheria ya usalama wa taifa

    Wewe ndo utakuwa unatoa siri sisi tusiyoijua km polepole katoa Siri..
  3. Maundu

    JamiiForums Tanzania Polisi sita mbaroni kwa kumuua mtuhumiwa

    Pole yao wafiwa .ila wazazi muwe mnaangalia majina ya kuwapa watoto zenu,sasa mtu umempa Jina anaitwa Tatizo, halafu unategemea aweje kwenye maisha yake.
  4. Maundu

    JamiiForums Tanzania Ibrahim Traore ni Gaddafi mpya wa Afrika?

    Dah!uwa naheshimu saana mchango wako..ila kwenye Gaddafi hapo Kaka umechemka..na hata huyu wa Burkina Faso,sioni sababu ya kumkosoa Kwa namna hiyo,muda utaongea.
  5. Maundu

    JamiiForums Tanzania Rais Macron aituhumu Urusi kuchafua jina la Ufaransa barani Afrika

    Duh!unafikirisha saana..
  6. Maundu

    JamiiForums Tanzania Swali fikirishi, ni kwanini Mbowe anatumia nguvu kubwa kubaki madarakani?

    Mbowe ni mfanya biashara,hiyo ni sehem ya biashara yake pamoja na familia..ndo maana ulitaka kuijua rangi yake taka hiyo nafasi.
  7. Maundu

    JamiiForums Tanzania Nyie wafuasi wa Tundu Lissu

    Sasa Mkuu..hii umeandika Kwa wafuasi wa Chadema au Republican wa Marekani??kwani Kuna sababu gani ya kuandika lugha ya watu Kwa ujumbe wa ndugu Mashaka wa sengeremana Juma wa mtwara Kwa lugha ambayo wanaweza wasielewe?
  8. Maundu

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa mtaa wa Isere Kinondoni tumechoshwa na vijana wasio wakazi kuugeuza kijiwe cha dawa za kulevya

    Mwenyekiti wa uwo mtaa bwana mgaula,aliyekuwa anamiliki pap chulo..me nna Iman haujampa taarifa vizuri..jambo dogo sana kwake.
  9. Maundu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dadangu ana miaka 26, lakini mpaka sasa hajaolewa. Familia nzima tuna wasiwasi kuwa atazalia nyumbani. Tufanyeje?

    Duh!mjomba mbona una mawazo ya ovyo kiasi hiko?ukimlengeshesha Kwa huyo mwanamme halafu Hana furaha na ndoa yake utaenda wewe?unatapaswa umshauri afanye saana maombi atapata mume,na wewe pia muombee apate mtu/mume sahihi sio kumtafutia mabwana wamkande wakimbie.
  10. Maundu

    JamiiForums Tanzania Wadau ni kweli mitandao ya simu imeanza kurudisha bando za intaneti?

    Me mbona Voda hawajanipa mpaka sasa,au wanabagua?
  11. Maundu

    JamiiForums Tanzania Nataka kufanya DNA test ya watoto wa kaka kupitia mimi je inawezekana?

    Utakuta hizo mali kidogo za marehemu ndio zinakufanya uwaze uwo ujinga,unataka kuwatimua watoto mgawane mali tu,hauna lolote
  12. Maundu

    JamiiForums Tanzania Askofu Gamanywa: Marekani Ndio inaitegemea Israel Kijeshi na Siyo kinyume chake!

    Ukiwa na akili km hizi ni sawa hasara kubwa kwenye familia,jamii,na taifa kwa ujumla.
  13. Maundu

    JamiiForums Tanzania Putin atua Saudi Arabia, aongozwa na ndege 6 za kijeshi

    Hiyo safari juzi dw swahili walitangaza..hiyo ni siri gani?au wewe ndio unaona siri?
  14. Maundu

    JamiiForums Tanzania Askofu Gamanywa: Marekani Ndio inaitegemea Israel Kijeshi na Siyo kinyume chake!

    Mimi sina dini ila nawashauri ndugu zangu hakuna jambo zuri hata km tunatofautiana kimawazo ila tukaheshimu iman zetu,zaidi kuwaongelea mitume na kugusa vitabu vilivyotufanya tuwe na utulivu wa kimaadili..mawazo yangu tu.
  15. Maundu

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Hivi unajua kwamba Israel inadhibiti taarifa kwenye battle ground?
Back
Top Bottom