Haibu sannaa tanzania imepita miaka 7 sasa rais ndio anadhubutu kusema ivoo leo kwasababu kesho anastafu ni haibu kubwa sanaa ingekuwa nchi inayojitambua hapo prs anahukumiwa
Kabisaa kaka huyu mtoa post hajakomboka kifikra bado ni mtumwa wa fikra na anamawazo tegemezi anamaanisha kitu ambacho south africa wajafanya basi sisi hatuwez fanya uo ni ujinga na umaskin mbna tanzania tulipata uhuru before s.africa
Unazungumzia reference non sense kabisaa tufanye tanzania kwan tunashindwa wapi kama inahitajika trion 1.3 per year wanafunzi kusoma bure na wakati kuna makampuni yanasamehewa kodi trion1.4 tuanze tanzania me nafikili tutakuwa case study
Tanzania tunaweza fanya kitu nasi tukawa kioo na mfano wa kuigwa duniani kote kwa sababu mali tunazo kwaiyo swala la elimu bure linawezekana mipango na usimamizi tuu...tusipende kuwa watu wakuiga tuu kila nasi tufanye ili tuigwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.