Sioni ulazima wa kujadili wizi kwa staa,iwezekani serekali hii utuumize na mikodi ya kero watu tumefunga bishara zetu maisha yamesimama kila kitu akiendi kila sekta watu wanalia kisha mtu moja apige 1.5 then wewe uje hapa ututapangie jinsi ya kujadili mwizi
TTCL juzi tu imepewa mabilioni ya fedha za walipako mbele ya waandishi wa habari,wewe kafaenye utatifi usie jua sio mimi naelewa TTCL 100% ruzuku kujienda pamoja na pacha wake TANESCO
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, ameitaka serikali kuwakamata na kuwafikisha mahakamani, watumishi wa umma na wanasiasa waliochangia kufilisika kwa shirika la simu la taifa (TTCL) anaandika Dany Tibason.
Akizungumza bungeni mjini Dodoma leo Jumanne, Kubenea alisema, kampuni ya simu ya TTCL...
Haya makampuni, TANESCO & TTCL pamoja na kupata ruzuku kubwa ya serikali lakini ufanisi ni wa kusua sua, wanaishia kununua magari ya kifahari na kuyapiga rangi za ajabu ajabu (TTCL - Njano-Crazy Colour). La kusikitisha zaidi ni kuwa wana wakuu vijana lakini wana mawazo ya kizee mno (kama...
baada ya kugundua tatizo kwanini usipendekeze serekali iondolewe kwakushindwa unapendekeza endelee ijikite katika kutengeneza mazingira ya sekta binafs?
Mkuu asante kwanchango wako mzuri lakini mbona serekali nyingi duniani zimefanyikiwa kuendesha mashirika ya umma kwakutumia nfumo huu ulioshindwa hapa kwetu,naona bado tunapaswa kutafuta mchawi bila kufanya hivyo mifumo yote itabuma au itabumishwa.
Mashirika ya umma yalikua mengi sana na viwanda nchi nzima majengo magari hospital nk imebaki historia na machache yaliobaki yanaendeshwa kwa ruzuku ,hii ndio Tanzania
Kwanfano kama shirika la ndege wanatia aibu wale jamaa ni wababaishaji hatari niliwasikia sikukomoja wanaongea propaganda kwenye redio wana hojiwa, kama shida ni bodi kwanini wasi rent bod ya fastjet ikawasaidia
Kwanini Tanesco nayo isishindanishwe na makampun mengine kama TTCL ili ikafie mbali hawa wasingeshindanishwa wangetutesa sana kama TANESCO wanavyotusema kukatika kwa umeme kupandisha bei miundombinu ya zamani uzembe na matizo kibao, tungekua tunapata bando za units na umeme wa wireless na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.