Recent content by matuntu

  1. M

    Je, ni kweli Mahindi yameshuka bei?

    Upo mkoa gani mkuu?
  2. M

    Uliwahi kukutana na Mauzauza gani ya giza/uchawi katika Nyumba ya Kupanga au ulipohamia nyumba mpya?

    Aisee uchawi upo hii yako ni cha mtoto mi niliwahi kukaa nyumba moja unanunua nyama kilo tano unaigawa kwenye vikontena kilo moja moja ili iwe rahisi kupika ukitoka kazi asubuhi kuamka unakuta vikontena vimeganda lakini hamna nyama wala tone la damu..! Ukiweka samaki inaliwa hivyo hivyo...
  3. M

    Utajiri wa kufa na kuoza ndio pesa ije

    😂😂😂😂😂
  4. M

    Mdogo wa mke wangu kamleta mwanaye kuishi kwangu ila sipo tayari kubeba lawama baadaye. Nifanye nini kuepuka hili?

    Mkuu hao wanaosema wewe ni mchoyo inaonekana na wao wamepeleka watoto wao kwa ndugu..! Kwa kifupi mtoto kama wazazi wake wako hai akakae kwao mtu asikutwishe mzigo wa kulea na wao wamekaa wanakula bata, haya maisha hata uwe na hela ulezi wa watoto wako wenyewe ni kazi sembuse uongezewe mtoto...
  5. M

    Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

    Mambo ya kufikirika haya! Yaani upewe wanawake na vijana wadogo wa kukutumikia umekuwa nani ww? Kwani hao wafanyakazi wao Mungu hatawapa hiyo raha mpaka wao wabaki kuwa watumishi wako? 😁
Back
Top Bottom