2015 walitoka nje wakati Rais anahutubia Bunge na sio mara ya kwanza kususia chaguzi na kutoutambua, mnawaona viongozi wa CHADEMA kuwa na msimamo kwa sababu hawakushinda hawana cha kupoteza ndio mana wamekaza wote ni wale wale .
Udikteta unauchukulia poa wewe hilo nelo kalianzisha Lissu wachache kama wewe mmelindandia ,mtu kuitwa Dikteta usichukulie poa kisa kabana rushwa na katimua watushi hewa na kubana wapinzani ndio sifa pekee na Kagame na M7 waitwaje na hao ni baadhi.
Kwa hiyo unaamini Chamwino na mji wa serikali hakuna Wi-fe, TCCL broadband ninahakika ofisi nyingi wanatumia na Wi-fe ipo yakutosha
Moja ya kazi ya Wi-fe ni kuficha IP adress hivyo restriction website itafunguka bila wasi hata hiyo twitter, naamini TCCL hawajazuia mkongo wa Taifa kuifikia...
Huijui teknolojia ya hao ISP mbinu zipo nyingi sio lazima Vpn na sio kweli Tanzania nzima net inazingua la hasha, inshu ni minara tu wanabana wanavyotaka wao kulingana maeneo na unaweza kuta maeneo ya balozi, viwanja vya ndege na Ikulu wanaperuzi bila shida.
Jiulize vifurushi vya kanda ya ziwa...
kuna kipindi anaongea kama Rais na kingine kama mwenyekiti elewa hivyo kasema Central Commetee sio kwenye JMT kha ndugu mbona kazi ndogo kulitambua hilo,kwan toka lini Rais anachagua Mgombea Urais kwa vyama vyote na ndiye anakuwa kapita.
Kwa utaratibu wao wa Chama hatapenda kumuona mtia nia wa...
Watu ni wajinga sana hawatafuti maarifa kazi ni kuropoka ,MD mgodi wa Mwadui analipwa M50 kwa mwezi kwa mwaka m600 .
Huu mshahara wa Rais ni mdogo sana kama mbunge wa kawaida analipwa m12 ,Rais apewe ngapi sasa kama sio kuwashwa hawa watu.
Hao wote uliowataja elezea vifo vyao vilikuwaje na utoe ushahidi jinsi matukio yalivyokuwa na maeneo waliyokuwepo na nini sababu za vifo hivyo.,na kama uliona askari huyo alieua CDM walichukua hatua gani ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.