Recent content by matthew2000

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hii Mikopo ya Bajaji sasa imekua kama kausha damu, tuwe makini

    Ukifikiria vizuri utagundua hao jamaa wanao toa bajaji wanasaidia sana. Mtaani kuna kampuni zinatoa mikopo kwa riba ya 10 to 40% kwa Mwezi Lakini ukipiga hesabu vizuri hao jamaa ni kama wamekupa mkopo kwa riba ya 5% Kwa Mwezi Lakini pia wamekupa na idea ya biashara ambayo ni Bajaji. UKWELI...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

    kasheshe
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kutengeneza Android Application lakini sijui lugha yoyote ya kompyuta sehemu ya kwanza (01)

    Muendelezo wa haya mafunzo,Nimeweka You tube kwa Ajili kuona kwa vitendo na kujifunza zaidi. Link Asante
  4. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Binti Smart, Sijali Elimu, Tufanye Kazi Mtwara Mjini. (Customer Care)

    Nipo Mtwara nahitaji hii kazi boss wangu,Itanisadia sana.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuthibitisha PIN Google Adsense

    karibu kwenye team ya adsense kuhusu p.obox tafuta mtu,ofisi utumie box lao pIN zikifika utazipata kwa urahisi ila ukihitaji huduma ya box inapatikana kwa 5000. kuhusu identify verification tumia ID ya mpiga kura. karibu PM kwa maelezo zaidi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kutengeneza Android application lakini sijui lugha yoyote ya computer

    Mada inaendelea you tube.. Kwa kujifunza zaidi. Link.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kutengeneza Android Application lakini sijui lugha yoyote ya kompyuta sehemu ya kwanza (01)

    SEHEMU YA KWANZA: MAHITAJI(TOOLS) YA KUWEZA KUFANIKISHA UUNDWAJI WA ANDROID APPS Kuna programu kadhaa ambazo zinahitajika ili kuweza kuunda hizi apps, programu hizo ni kama zifuatazo: 1. kompyuta inapaswa iwe na JAVA Development kit (JDK) Apps za android kwa asilimia kubwa huundwa kwa kutumia...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kutengeneza Android application lakini sijui lugha yoyote ya computer

    Katika thread hii tutajifunza namna ya kutengeneza application za android "from the scratch", Japokuwa kuna "platforms" mbalimbali mtandaoni ambazo zinaweza kumsaidia mtu yoyote kuunda apps hata pasipo kuwa na ujuzi wowote kuhusu programming, hapa itakuwa ni tofauti. Imani yangu wale wote ambao...
Back
Top Bottom