Recent content by Mato Alfred

  1. M

    Msaada jinsi ya kupata confirmation code

    Nimelog in nimekuta wamejaza e-mail yangu mi nikaweka namba ya simu nimerequest lakini hawajatuma.
  2. M

    Msaada jinsi ya kupata confirmation code

    Nimechaguliwa SUA lakini nipo kwenye multiple selection, nataka ku-confirm SUA lakini confirmation code sijatumiwa, nawezaje kuipata hiyo confirmation code? Na mwisho wa ku-confirm ni lini?
  3. M

    Msaada kuhusu kubadili fedha

    Naweza badilisha hii pesa kwenda pesa ya kitanzania?
  4. M

    TTCL asanteni kwa kunipunguzia gharama za MB mko vizuri 2GB kwa mwezi 1500

    Nielekeze namna ya kujiunga hii maana sijawahi kutana na kifurushi cha mwezi cha voda
  5. M

    Joining instructions

    Haipo mkuuu...
  6. M

    Joining instructions

    Naomba mwenye pdf ya joining instructions ya songe girls high school anitumie plz.
  7. M

    Matokeo QT form two

    Naomba msaada naangaliaje matokeo ya QT form two?
  8. M

    Naomba kujuzwa maeneo mazuri kwa field ya umeme kwa hapa Dar

    Mimi nasoma Electrical Engineering first year so nachohitaji ni eneo la field as long as electricity is concerned cjalishi ni majumbani au viwandani
Back
Top Bottom