Recent content by Matiko Junior

  1. Matiko Junior

    SoC03 Kamba ya mbali haifungi mzigo

    Dada umenipa nguvu ya kusimama kidete..... Hakika andiko hili ni Uzi sana. Nguvu ya uandishi hii inaonekana wazi✊🏾💪🏿
  2. Matiko Junior

    Afrika tunapaswa kubadilisha makanisa na misikiti kuwa viwanda

    Imebidi nicheke eeeh CCM kwa tanzania na kwa Africa nzima?
  3. Matiko Junior

    Afrika tunapaswa kubadilisha makanisa na misikiti kuwa viwanda

    Hii hoja yako hakika imekaa mkao wa kupunguza na Ina ukweli mtupu. Hivi unajua morali ya mtu anaeaminoshwa😂
  4. Matiko Junior

    Sakata la DP World limeuwaunganisha watu, sasa wote tunaongea lugha moja

    Nashangaa sana au ndio Baada ya KUKOSA hoja hata content creators wamepotea mtu anaweza andika hafi ukajiuliza amendika kufikisha andiko au ameandika kufata UHALISIA😂 Hili ameandika pambio🚮
  5. Matiko Junior

    Sakata la DP World limeuwaunganisha watu, sasa wote tunaongea lugha moja

    Hapa umeandika ili tu upate watu wa kukuhoji au umeandika UHALISIA. Hiyo maana ya lugha moja unamanisha sote tunajadili bandari Kila mtu anavutia kwake?? Au unamanisha nini mkuu ? Hii content yako ipoje sijakupata. Na huyu lisu sasa 😁
  6. Matiko Junior

    Oparesheni 255: Freeman Mbowe aingia Buchosa, Shigongo tumbo joto

    Hawa ndio wale wa kuchunguzwa kabisa akili na maumbile so sad 😢😢 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
  7. Matiko Junior

    Oparesheni 255: Freeman Mbowe aingia Buchosa, Shigongo tumbo joto

    Nikafikiri ni yetu kitaifa maana mwandishi nae 😂
  8. Matiko Junior

    Oparesheni 255: Freeman Mbowe aingia Buchosa, Shigongo tumbo joto

    Ila sisi chadema bwana hii pikipiki bana basi💔💔 Hii pikipiki inatusaidiaje sasa au ni kwa ajili ya kata TAJWA hapo? Aise hao wa mchongo piga chini kabisa hawana mchango katika mabadiliko ya nchi zaidi ya kutugandamiza tu.
  9. Matiko Junior

    Viongozi wa ECOWAS watoa Wiki Moja kwa Jeshi la Niger kuachia madaraka

    Naona mambo yanazidi kuwa moto. ✍🏿 Ni dhahili kuwa serikali zetu zinawainambia sana mabeberu ilhali tunajivunia rasilimali zetu na kila kuitwapo leo Kuna KAULI za kujisifu tuna vitu. Ipo wazi kuwa sisi Kila kitu tunatekeleza na sio tunatengeneza na hii itatutesa itatutafuna na itatumaliza...
  10. Matiko Junior

    SoC03 Uchambuzi: Namna ambavyo ubovu wa mifumo endeshi ya kiutawala inavyofifisha utawala bora na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuleta mabadiliko

    😂😂😂 Madam wewe inaonekana unaona mbali, uliona wapi nyoka akajing'ata mkia. Watu wako busy kutengeneza chain sehemu nyingi ukitajiwa MAJINA ya wataeule fatilia ngazi za juu utakuta Kuna mwenye jina kama sio baba, mama, kaka au dada basi ni mjomba, shangazi na nk wewe niambie kwa njia hiyo...
Back
Top Bottom