Kwa mwanafunz aliyepata Mathematics F, Geography E na Economics E je anaweza kusoma Diploma ya Accountancy ila mathematics o level alikuwa na C ya mathematics
Kuna mwanafunzi alikuwa anasoma hiyo comb sasa katika matokeo amepata Geography E, Economics E na mathematics F. Je anaweza kuchukua diploma na vipi kuhusu akitaka kurudia paper kwa unafuu zaidi anaweza kubadili comb nyingine mfano achukue HGK AU HGE Na kozi anayotaka kusoma ni statistics.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.