Ifike wakati serikali iweke bei elekezi kwa mazao yote kama inavyofanya kwa zao la korosho. Kwa jinsi bei ya mbaazi ilivyo kwa mwaka 2025 hakiwezi kupunguza umasikini wa kipato kwa kuwa bidhaa ghafi bei zake zipo chini ukilinganisha na bidhaa za madukani. Haiingii akilinini mkulima auze kilo 4...
Acheni upotoshaji serikali iliopo imefeli kutatua changamoto za vijana waliohitimu taaluma mbalimbali; kwanza tambua hata wahitimu wote wakipita veta si suluhisho la wao kujikwamua kiuchumi ;pili kama mna nia ya dhati ya kuwakwamua vijana kiuchumi basi serikali iwe tayari kuleta sera rafiki na...
Mleta mada Fanya utafiti wakutosha usiitetee maamuzi ya serikali kwa sababu ya ubinafsi wako ,kwanza usahili huu ni kupotezeana muda mfano kwa somo la kiswahili waliomba ni elfu 28 nafasi walizotoa serikali ni 184 kwa nchi mzima,kwa somo la geography waliomba ni zaidi ya elfu 23 nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.