Recent content by Mathayo Christopher

  1. Mathayo Christopher

    Wito kwa Watanzania, Wazalendo wa Kweli wa Nchi Yao, na Wenye Mapenzi Mema na Taifa Lao, Tumuombe Rais Samia!, Tuliombee Taifa Letu!

    Maombi pekee ni kutoka katika waraka wa Paul mtume Kwa wagalatia 5:22-26 juu ya tunda la roho kama hazingatii hayo maombi yetu ni bure
  2. Mathayo Christopher

    Barua ya Msajili Wa Vyama yaibua mzozo na vurugu kwenye mkutano wa CUF

    Msajili wa vyama vya siasa mteule wa m/kiti wa C.C.M alikuwa wapi Kwa kipindi chote Cha miaka miwili Toka uchaguzi wa C.U.F ufanyike??
  3. Mathayo Christopher

    Bei ya mbaazi haina tija kwa mkulima

    Kabla ya kukomenti unachokiona sawa tafakari sana ni kaya ngapi zimeathiriwa ikiwa kaya nyingi hitegemea kilimo
  4. Mathayo Christopher

    Bei ya mbaazi haina tija kwa mkulima

    Ifike wakati serikali iweke bei elekezi kwa mazao yote kama inavyofanya kwa zao la korosho. Kwa jinsi bei ya mbaazi ilivyo kwa mwaka 2025 hakiwezi kupunguza umasikini wa kipato kwa kuwa bidhaa ghafi bei zake zipo chini ukilinganisha na bidhaa za madukani. Haiingii akilinini mkulima auze kilo 4...
  5. Mathayo Christopher

    Nina shida ya softcopy ya kitabu Cha kiswahili na hisabati darasa la kwanza

    Mwenye uwezo wa kunisaidia nakala tajwa hapo juu anisaidie
  6. Mathayo Christopher

    GE2025 Picha: Mtoto wa Rais Samia, Wanu Afidh Ameir achukua fomu kuwania Ubunge huko Makunduchi, Zanzibar

    That is what is known as "the iron law of oligarchy"in democracy
  7. Mathayo Christopher

    Rais Samia: Lazima tukusanye Pesa zetu za ndani huko nje masharti yamekuwa yakiongezeka

    Kwa nini alimtumbua ndugai?,yeye alitoa maoni kama hayo watanzania tuna unafiki sana
  8. Mathayo Christopher

    What You Love Vs What You Can, & What You Get!, If You Can't Get What You Want, Just Take Whay You Get!, Live!

    Acheni upotoshaji serikali iliopo imefeli kutatua changamoto za vijana waliohitimu taaluma mbalimbali; kwanza tambua hata wahitimu wote wakipita veta si suluhisho la wao kujikwamua kiuchumi ;pili kama mna nia ya dhati ya kuwakwamua vijana kiuchumi basi serikali iwe tayari kuleta sera rafiki na...
  9. Mathayo Christopher

    NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

    Mleta mada Fanya utafiti wakutosha usiitetee maamuzi ya serikali kwa sababu ya ubinafsi wako ,kwanza usahili huu ni kupotezeana muda mfano kwa somo la kiswahili waliomba ni elfu 28 nafasi walizotoa serikali ni 184 kwa nchi mzima,kwa somo la geography waliomba ni zaidi ya elfu 23 nafasi...
  10. Mathayo Christopher

    PreGE2025 Hii tabia ya kudharau Wananchi haifai. Nimwambie Wasira kuwa watanzania wakitaka kuzuia uchaguzi mkuu Inawezekana

    Mungu fundi hata magu alinuia atawale mda mrefu kwa hiyo wenye madaraka wajitafakari
Back
Top Bottom