Recent content by Mathayo Christopher

  1. Mathayo Christopher

    Ajira 21000+ ni chache sana, watakosa wengi, na wengi watahisi bila pesa /connection huwezi kuajiriwa

    elimu yetu inatumia mfumo wa utahini na upimaji njia pekee ya kupunguza malalamiko ni kutumia kigezo cha ufaulu wao wale wenye ufaulu mkubwa wapewe kipaumbele
  2. Mathayo Christopher

    Tulia Ackson: Wanaojitolea kwenye Kada za Afya na Ualimu wapewe kipaumbele kwenye Ajira

    2015 - 2023 miaka 8 ya mapambano ya maisha mtaani .niishie hapo maana alieshiba hamjui mwenye njaa.
  3. Mathayo Christopher

    Niulize chochote kuhusu zao la nyanya nitakujibu kama mkulima

    Nunua mbegu za hybrid za F1 na fuata taratibu za uandaji wa kitalu cha kusia mbegu ya nyanya
  4. Mathayo Christopher

    Niulize chochote kuhusu zao la nyanya nitakujibu kama mkulima

    Nyanya kuanzia hatua ya maua na matunda zinahitaji mbolea ya CAN na maji mengi hii huondoa tatizo la kuoza kwa kitako cha nyanya
  5. Mathayo Christopher

    Waziri wa Elimu awajibike kwa hili

    Waziri hatoi kibali cha ajira! Nguvu kazi ipo mtaani tu
  6. Mathayo Christopher

    SoC02 Elimu itolewayo nchini Tanzania haimuandai mhitimu kujiajiri

    There is difference between education and training
  7. Mathayo Christopher

    Nimekosa ajira za ualimu tena

    akikuambia GPA yake utamsaidia nini mana watu tuna upper second ya UDSM ila tumekosa
  8. Mathayo Christopher

    Niulize chochote kuhusu zao la nyanya nitakujibu kama mkulima

    Poleni kwa kuchelewa kujibu kutokana na majukumu
  9. Mathayo Christopher

    Niulize chochote kuhusu zao la nyanya nitakujibu kama mkulima

    Kwanza tifua sehemu unayotaka weka kitalu kisha weka majani makavu na kuni ndogo sehemu uliotifua kisha choma .acha kitalu kipoe kwa siku mbili ,baada ya kitalu kupoa tengeneza vifereji vidogo vyenye kina cha sm 2 utakavyochora kwa kijiti chenye ukubwa wa penseli na tofauti ya mstari wa mfereji...
Back
Top Bottom