Recent content by Mathayo Christopher

  1. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua Katiba. Watanzania pambaneni kupata Katiba mpya

    Kwa suala la kupambana kupata katiba TUNDU LISSU ni mshindi na history itamkumbuka daima kwa legacy hii
  2. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Hakuna alie tekwa pale, ni pure drama, yaani ni utekaji bandia

    Kama bwana ni mchungaji wako basi ishi Kwa habari ya Good Samaritan
  3. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Hakuna alie tekwa pale, ni pure drama, yaani ni utekaji bandia

    Zab 35 isome vizuri ahadi ya vyeo isikupotezee utu.
  4. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Watanzania, Wazalendo wa Kweli wa Nchi Yao, na Wenye Mapenzi Mema na Taifa Lao, Tumuombe Rais Samia!, Tuliombee Taifa Letu!

    Maombi pekee ni kutoka katika waraka wa Paul mtume Kwa wagalatia 5:22-26 juu ya tunda la roho kama hazingatii hayo maombi yetu ni bure
  5. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Barua ya Msajili Wa Vyama yaibua mzozo na vurugu kwenye mkutano wa CUF

    Msajili wa vyama vya siasa mteule wa m/kiti wa C.C.M alikuwa wapi Kwa kipindi chote Cha miaka miwili Toka uchaguzi wa C.U.F ufanyike??
  6. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Bei ya mbaazi haina tija kwa mkulima

    Kabla ya kukomenti unachokiona sawa tafakari sana ni kaya ngapi zimeathiriwa ikiwa kaya nyingi hitegemea kilimo
  7. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Bei ya mbaazi haina tija kwa mkulima

    Ifike wakati serikali iweke bei elekezi kwa mazao yote kama inavyofanya kwa zao la korosho. Kwa jinsi bei ya mbaazi ilivyo kwa mwaka 2025 hakiwezi kupunguza umasikini wa kipato kwa kuwa bidhaa ghafi bei zake zipo chini ukilinganisha na bidhaa za madukani. Haiingii akilinini mkulima auze kilo 4...
  8. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Nina shida ya softcopy ya kitabu Cha kiswahili na hisabati darasa la kwanza

    Mwenye uwezo wa kunisaidia nakala tajwa hapo juu anisaidie
  9. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania GE2025 Picha: Mtoto wa Rais Samia, Wanu Afidh Ameir achukua fomu kuwania Ubunge huko Makunduchi, Zanzibar

    That is what is known as "the iron law of oligarchy"in democracy
  10. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Lazima tukusanye Pesa zetu za ndani huko nje masharti yamekuwa yakiongezeka

    Kwa nini alimtumbua ndugai?,yeye alitoa maoni kama hayo watanzania tuna unafiki sana
  11. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania Utafungiaje Twitter halafu uendelee kuitumia?

    No reform No election
  12. Mathayo Christopher

    JamiiForums Tanzania What You Love Vs What You Can, & What You Get!, If You Can't Get What You Want, Just Take Whay You Get!, Live!

    Acheni upotoshaji serikali iliopo imefeli kutatua changamoto za vijana waliohitimu taaluma mbalimbali; kwanza tambua hata wahitimu wote wakipita veta si suluhisho la wao kujikwamua kiuchumi ;pili kama mna nia ya dhati ya kuwakwamua vijana kiuchumi basi serikali iwe tayari kuleta sera rafiki na...
Back
Top Bottom