elimu yetu inatumia mfumo wa utahini na upimaji njia pekee ya kupunguza malalamiko ni kutumia kigezo cha ufaulu wao wale wenye ufaulu mkubwa wapewe kipaumbele
Kwanza tifua sehemu unayotaka weka kitalu kisha weka majani makavu na kuni ndogo sehemu uliotifua kisha choma .acha kitalu kipoe kwa siku mbili ,baada ya kitalu kupoa tengeneza vifereji vidogo vyenye kina cha sm 2 utakavyochora kwa kijiti chenye ukubwa wa penseli na tofauti ya mstari wa mfereji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.