Mgeni rasmi kwenye sherehe za mei mosi mjini Mbeya rais Kikwete akiwa anaingia uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine watu walikuwa wamekaa tu kama vile waliopoteza kabisa matumaini na kiongozi huyu wa serikali. Rais alionyesha uso wa furaha na kuwapungia mkono lakini wengi waliendelea kuketi bila...
Hali ya matukio ya kisiasa kwa sasa ni kiashiria kuwa uhalisia wa misemo ya wazee wetu wa zamani kama vile ngoma ikivuma sana mwisho wake inapasuka, mfa maji haishi kutapatapa, mkataa pema pabaya panamwita inatimia kwa kupitia viongozi wa serikali ya ccm.Tukio liliotokea Arusha la kifo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.