Recent content by Mateo Kovasic

  1. M

    New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!

    Back in days, when Advocate mayala alivokua timamu. Baada ya magu akili zako zilibadilika sana
  2. M

    Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

    Unamuita form four failure then unamuogopa?? Si umfate private mmalizane uone huo u-failure wake.
  3. M

    Rais Samia: Huwa napitia JamiiForums naangalia maoni yenu

    Sasa maoni ya watu kama “mdude Chadema” Ndio yanayomshangaza Mheshimiwa Raisi. Mdude Mmawia Erythrocytes Etc.
  4. M

    Lema: Nikimuona mtoto wa Waziri Mkuu Majaliwa au wa Rais Mwinyi anaendesha Bodaboda ndipo nitaomba radhi

    Ila Lema ana point. Ukichukulia juu juu hutoelewa “theme” yake.
  5. M

    Dr Kigwangala: Nilipokuwa Waziri nilipewa Walinzi kutoka Ikulu sikuruhusiwa kutembea peke yangu. Nilitokea Kwenye Ripoti ya CAG kimakosa!

    Nchi zipi hizo??? Ndo yale yale muanze kusema raisi ni dikteta kwa kufuata ushauri kama huu wako.
  6. M

    Rostam Azizi to build 200 million LPG Facility in Kenya with Our money may be!

    Hii “code” ni nshaijua Ni yule aliyewasomesha namba.
  7. M

    Napinga Ramadhani Kailima kuteuliwa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi, ni Kada wa CCM

    Me nkajua ni magufuli enzi zake akiwa na nywele.
  8. M

    Iringa: Yanayojiri kwenye Mkutano Mkubwa wa Hadhara wa CHADEMA

    Wewe kila mkoa unadai ni ngome ya chadema. In reality/ground ni weupe kama unga wa sembe.
  9. M

    Mkuu wa Mkoa Songwe ni Mtanzania? Jina kama Mkongo au Mrundi?

    Mtu hadi anateuliwa bado unakuwa na shaka ya uraia wake??
  10. M

    Wananchi wa Mbeya Waipa Adhabu CHADEMA

    Mmawia na erytrote njooni Mnaitwa huku
Back
Top Bottom