A na B zilishaharibu akili za watu,Leo timu A inasema hakuna mchezaji wa timu B anaweza kupata namba timu A, ila msimu unaofata anasajiliwa B na kupata namba A na kusifiwa sana, tusiwe wajuaji wa kila kitu,wanaoongea wataalam wa kivita wewe fundi viatu unabisha
Sina Ubaya kabisa na JK,kama ni kweli anashauri ubaya mbona alishasema za KUAMBIWA changanya na za kwako,tuache hisia potofu mama anaupiga mwingi kama ni mapungufu basi ni ya kibinadamu tu
Kura yangu anayo kwangu kwa jinsi alivyorudisha promotion yangu ambayo nilikula mwezi mmoja ikakatwa na Magufuli na nyongeza hii ya Leo nitafukuza mtu nyumbani asipoenda kumpigia kura
Wakati huu ndio anaongea wakati akiwa ndani ya Chama hakuyaona hayo?, alikuwa nje ya Chama akavutwa akaingia Kwa Nini hakukataa kama CCM ina mapungufu anayoyasema Sasa? wakati ule wa Magufuli watu walipohitaji katiba mpya akasema sio kipaumbele chake kwa wakati huo mbona alikaa kimya?
Msiwe mnawatukana viongozi wa Afrika kuwa hawana akili,Sasa angalia hao tunaowaamini kuwa wana akili wanavyotumikishwa kama watoto,Ulaya inapiganishwa na US na bado hawajitambui,wanadanganywa adui yao ni RUSSIA na kweli wanaamini
Wazungu wana sarakasi nyingi sana na mbwembwe nyingi sana,patriot,S-400 ,Thaad na Irone Dome yote ni mavyuma vyuma tu ya kuwapiga watu hela,suluhisho la hapo nchi kutafuta Amani hayo mavyuma yatakosa pa kwenda
Kweli Israel angeikuta Iran ni mnyonge angesitisha vita? jamani tuacheni ushabiki wangekaa sana pale,kumbukeni Israel ni US na pale Irani Kuna mafuta mengi sana na wangekaa sana,hapo inawezekana alipima kina cha maji akaona ni kirefu akasitisha vita
Hayo ni maneno tu kamwe hawezi chezea jeshi imara na lenye nguvu kama jwtz,akumbuke lilikwenda kulinda Amani kwa kivuli cha SADC na sio kwamba maamuzi yalikuwa yanatokea Lugalo,ajaribu kuingia Karagwe au Ngara hata robo kilomita athibitishe maneno yake aone,Ushauri hapa tujihadhari sana kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.