Nimeipenda ,kweli ndani ya jkt kuna vijana wanataaluma nzuri na wapo tayr kulitumikia taifa lao na mpaka sasa wapo vikosini wakijitolea kuzalishia taifa , kule hakuna upendeleo unasifa unapita,ni wazo zuri nimelipenda sana
Maono na fikra pevu zinaweza kusaidia kuwajenga walimu kutoka dhana ya mishara midogo,kikubwa ni kujitambua na kuwa na uwezo zaidi ya ualimu ili pawepo na uwezo wa mtu binafsi katika kujiendesha hii ni pamoja na kujiendeleza ,kubuni miradi ya kujipatia kipato na mengine mengi.MWISHO. walimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.