Changamoto kubwa inayotukumba Watanzania ni tabia ya kumeza kila unachokisikia pasipo kujiwekea muda wa kusoma kilichopo mbele yao. Wewe mtu unafikia kupinga jambo pasipo kusoma andiko hivyo kupata uelewa na kujibu hoja badala ya kukurupuka kutoa maoni pasipo kuwa na facts
Wakili Moses Kaluwa, mzaliwa wa wilaya ya Nachingwea, Lindi ni mhitimu wa Kitivo cha Sheria, UDSM, baada ya kuajiriwa taasisi mbalimbali za serikali, hivi sana ana kampuni binafsi ya uwakili, Kaluwa Advocates jijini Dar
Watanzania kwa umoja wetu inapaswa tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uhai tukaweza kushuhudia uongozi imara, uliotukuka na mpenda nchi, Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe ambaye amepita katika tanuru la mateso hata hivyo hivi sasa yupo mstari wa mbele kusimamia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.