Recent content by matamba1

  1. M

    Majambazi wakamatwa baada ya kupora fedha Sinza Dar

    Duh wako vizuri...kweli ujambazi unalipa
  2. M

    Rais wa Uruguay José Mujica, ndiye Rais anayeishi maisha duni kuliko wote duniani

    Anaeuchukia umasikini kwenye nch masikini teh teh
  3. M

    Adha ya mabasi: Kila mtu atakopa gari gombania mlango impitie mbali

    Mkuu sio Dar yote iko vizuri kwenye barabara sehemu zingine hata barabara za kijijini kwetu ziko vzr
  4. M

    Adha ya mabasi: Kila mtu atakopa gari gombania mlango impitie mbali

    Wamakonde wote mngekuwa hivyo,Ntwara ingekuwa kama ney york
  5. M

    BBC Swahili: Taarifa ya mgahawa sio kweli!

    Angalau kidogo imani imerudi kwa hii migahawa maana nilishafikilia kutembea na mahot pot
  6. M

    Adha ya mabasi: Kila mtu atakopa gari gombania mlango impitie mbali

    Hahahaaa mkuu umeua,umefanya jeuri mpaka kiburi sio dawa tena
  7. M

    Adha ya mabasi: Kila mtu atakopa gari gombania mlango impitie mbali

    Mkuu kila kitu nimeandika humo (mimi ni mpigania uhuru) tena nikaandika (kutokana na miundombinu ya barabara) ninako kaa ni kama hakuna sirikali maana barabara inamahandaki.,soma vizuri
  8. M

    Adha ya mabasi: Kila mtu atakopa gari gombania mlango impitie mbali

    Mara ya kwanza na mimi eeh mimi nilikuwa na mawazo mgando kama hayo lakini kwa sasa Nakuunga mkono 100% mkuu.
  9. M

    Adha ya mabasi: Kila mtu atakopa gari gombania mlango impitie mbali

    Haa! Kuna haja ya kuhama maeneo hayo mkuu maana si salama na boss if umeajiriwa! poleni ndugu
  10. M

    Adha ya mabasi: Kila mtu atakopa gari gombania mlango impitie mbali

    Habari zenu wana Jf,mimi sijambo japo nimechoka kabla hata ya muda wa kuchoka.wakuu labda nianze tu kwa kusema Mimi ni mpigania uhuru tu (mganga njaa ) nilibahatika miaka mi 3 huko kununua gari ambalo nadhani limeanza kuchoka sasa (kutokana na miundo mbinu ya barabara zetu) japo ni mapema...
  11. M

    Suluhisho la kupunguza uzito na kitambi

    Unaonyesha unajijari..mr kakupa go a head, uendelee kuEnjoy bila kujari madhara yatakayomrudia
  12. M

    Mapenzi ni mtihani

    Mbona unalialia!...kwani wewe si ulijipanga kwa kukataa. Ulaya mbaya sana inaharibu hata uwezo wa kuandika Rugha yako ya Asili
  13. M

    Ndoto inayonisikitisha, msaada please!

    Ndoto...dah..! Sina cha kusaidia sio muumini mzuri wa ndoto
  14. M

    Mfanyabiashara maarufu wa madini ya Tanzanite apanda kizimbani kwa utapeli ,atupwa magereza

    Mfanya biashara wa madini? mili 7.5? aah huwezi ku serious
Back
Top Bottom