Mimi nami niseme kidogo. Kuna jambo ambalo naamini, kwa kuwa sikiamini hata kivuli changu hata mtu mwingine siwezi kumwamini. Kama chadema ni taasisi na itekeleze majukumu yake kitaasisi. Zzk na gl waitwe wahojiwe. Slaa na mbowe wasipuuze mambo haya.
Mimi nami niseme kidogo. Kuna jambo ambalo naamini, kwa kuwa sikiamini hata kivuli changu hata mtu mwingine siwezi kumwamini. Kama chademe ni taasisi na itekeleze majukumu yake kitaasisi. Zzk na gl waitwe wahojiwe. Slaa na mbowe wasipuuze mambo haya.
Na yeye ni kati ya viongoz wazush, kama tukimpa nchi itakuwaje? kwanini muda wote wizara yake haikutoa taarifa kwa umma mpaka amesubiri bunge? ajitoe tu, hana faida.
Mimi nadhani taifa limepoteza yote mawili. 1. utamaduni wa kuhoji< kuhoj jambo sahh, mahali sahh na kwa chanzo sahh> 2. kuwajibika ama kuwajibishwa na mamlakahucka. JAMBO LILILOTOKEA, Alotaka kujua mambo hayo aloya.andika hakusema kwa chanzo sahh cha majibu, japoamewajibishwa kwa utaratibu...
Mimi nadhani taifa limepoteza yote mawili. 1. utamaduni wa kuhoji< kuhoj jambo sahh, mahali sahh na kwa chanzo sahh> 2. kuwajibika ama kuwajibishwa na mamlakahucka. JAMBO LILILOTOKEA, Alotaka kujua mambo hayo akloya.andika hakusema kwa chanzo sahh cha majibu, japo amewajibishwa kwa utaratibu...
Mbona na wewe unaongea umevimba mdau? kama ushauri unampa mtu umetuna hvo kweli ataufuata? kweli mumechanganyikiwa nyie maccm. chadema iko sawasawa sana. ccm mmelinyima taifa utamaduni wa kuwajibika na kuwajibisha. CHADEMA NI MWL WENU HATA KAMA HAMTAKI.
Jamani watz tunakwenda wapi? si vema kujadgji watu. tujadili masuala. hoja zote hapo ni za kweli, amani Inaumbwa na siyo kujadiliwa watu watowe mada wengine wachangie. TUREJEE KWNY MISINGI YA TAIFA<HAKI NA USAWA> MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Jamani watz tunakwenda wapi? si vema kujadgji watu. tujadili masuala. hoja zote hapo ni za kweli, amani unaumbwa na siyo kujadiliwa watu watowe mada wengine wachangie. TUREJEE KWNY MISINGI YA TAIFA<HAKI NA USAWA> MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Ni pale vijana wote wa tanzania tukijua aina ya taifa tunataka kujenga ndipo ccm itasalim amri. nawapenda sana watu wa arusha. mchango wa G.lema ktk siasa za mageuzi haulipiki. tukomae, chichiem wameshikwa pabaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.