We jamaa ni ----! Hivi unalipwa? Kila uzi wa lowasa upo umeegesha mkundu! Hivi unajua hali ya nchi sahiz ilivyo? Unajua wananchi wanataka nini? Au umekalisha matako yako hapa jf tu unamsakama lowasa?!! Acha ukuma tafuta maisha mbwa wrwe
Hiyo ni mimba ndg wala usimhukumu! Tafuta mtu wa jinsia ya kike wanayeheshimiana mweleze aongee nae japo akubali kwenda hosp
Ila hizo tabia zingne vumilia hazitaisha leo coz zinaletwa na mimba
Nahitaj wadada wanne kwa ajili ya kazi ya kusuply package za matunda kariakoo na posta
Sifa
Uwe msafi
Lugha nzur ya biashara
Elimu yoyote
Ujitoe kufanya kazi kwa moyo
Malipo ni minimum 150000 itapanda kulingana na uwezo wako wa kazi
Muda wa kazi ni kuanzia saa tano asubuh mpk saa kumi jion...
Nakumbuka alikuwa chanel ten akiwa na jamaa mmoja wa chadema kwenye uchambuzi
Akamtukana sana lowasa kisha akasema ccm wakipitisha wagombea ubunge mafisadi atarudisha kadi ya uanachama!
Akatuaminisha kuwa ccm imebadilika ndo maana imemkata lowasa na haitak tena mafisadi!!
Mpaka sasa mafisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.