Wadau naomba mnipe uzowefu wenu hivi inakuwaje utumishi anahama kutoka Almashauri moja kwenda nyingine huku Lawson inaendelea kusomeka yupo Almashauri ile ile ya mwanzo zaidi ya miezi mitatu huku ma Afisa Utumishi wapo wa Idala ya Makao Makuu huku watumishi wakiendelea kuteseka tu,kwani hata...
Jamani kila chama kimepanga muda wake wa kuanza mipangi.Ccm tuna mipango yetu tumesha pangilia muda ukifika mtatuona tu hatuwezi kufanya mambo kwa kuangakia Leo Ukawa wanafanya nini au wanatangaza nini.
mpululu
Mkuu pole sana i know how much u feel it naomba maamuzi yako usitegemee sana wachungaji.wadada wengine ni ibilisi sana kitu cha kwanza jihakikishie km kweli huu mchezo mchafu alishaanza?inabidi ukubali kufanyana nae ukiona inateleza kuingia ujue tayari ni mzowefu toa na usingoje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.