Recent content by Maswavilla

  1. M

    Hivi idara kuu utumishi kuna nini

    Wadau naomba mnipe uzowefu wenu hivi inakuwaje utumishi anahama kutoka Almashauri moja kwenda nyingine huku Lawson inaendelea kusomeka yupo Almashauri ile ile ya mwanzo zaidi ya miezi mitatu huku ma Afisa Utumishi wapo wa Idala ya Makao Makuu huku watumishi wakiendelea kuteseka tu,kwani hata...
  2. M

    CCM wanazidi kumdidimiza Magufuli huku wakimpaisha Lowassa!!

    Jamani kila chama kimepanga muda wake wa kuanza mipangi.Ccm tuna mipango yetu tumesha pangilia muda ukifika mtatuona tu hatuwezi kufanya mambo kwa kuangakia Leo Ukawa wanafanya nini au wanatangaza nini.
  3. M

    Baada ya mke wangu kunisaliti sasa ndoa yangu inapita kipindi kigumu

    mpululu Mkuu pole sana i know how much u feel it naomba maamuzi yako usitegemee sana wachungaji.wadada wengine ni ibilisi sana kitu cha kwanza jihakikishie km kweli huu mchezo mchafu alishaanza?inabidi ukubali kufanyana nae ukiona inateleza kuingia ujue tayari ni mzowefu toa na usingoje...
  4. M

    Nilimuonyesha akaunti yangu ya hela na wakanitoza faini kubwa kuliko kiasi kilichopo

    polesana kiongozi mimi nipo Maswa mbona watu wa huku ni wakarimu kama kwetu Mbeya.
  5. M

    Vitabu vya Willy Gamba (Elvis Musiba)

    mwenye vitabu vya mzee musiba marehemu naomba anijulishe 0715 555855 nipo Maswa Simiyu.
  6. M

    Vitabu vya Willy Gamba (Elvis Musiba)

    mwenye ivyovitabu anijulishe 0715 555855
Back
Top Bottom