Recent content by masterzero

  1. M

    Tuelimishane: Sakata la Mafuta ya kula (TRA vs. TBS) - Hiki ndicho kinachobishaniwa

    ni vyema serekali ingekuwa wazi kwa wafanyabiashara wa mafuta kabla hata ya wao kuagiza mafuta,TRA,TFDA,TBS,ingekaa na wafanyabiasha wa mafuta ya kula na wangewapa ufafanuzi wa kutosha kuwa wakiagiza mafuta.........utaratibu ni mafuta safi tozo 25%na pia ukiagiza ghafi tozo 25%wewe mwenyewe kama...
  2. M

    Tuelimishane: Sakata la Mafuta ya kula (TRA vs. TBS) - Hiki ndicho kinachobishaniwa

    nilikuwa naumiza sana kichwa kutaka kujua tatizo linaanza wapi?!ila umegusia suala la kuwa tanzania haipo sawa kimifumo hapo umegusa sehemu husika,mifumo ya utozaji kodi,mifumo ya mihimili ya serekali......... inavyoingiliana katika maamuzi na majukumu,kwa kifupi sana,walioandaa mifumo hii...
  3. M

    Uraia wa nchi mbili ni muhimu kwa maslahi mapana ya taifa

    Tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana na Mungu tuna fursa nyingi za kazi na malengo mapana ambayo yanahitaji mabilioni ya dola kutekelezeka haraka kwa kuwa issue ya viwanda imepewa kipaumbele sana itakuwa ni vyema kuangalia nchi zenye viwanda zilifanikiwa vipi/kufikia malengo yao. Marekani nchi...
  4. M

    Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    TUSIWE WEPESI KUAMINI!!! NINA MASWALI YANGU KWA ALIERUSHA HII POST AKINIJIBU NAMUAHIDI KULIFUATILIA HILI SUALA KUANZIA HUKO OMAN MPAKA TZ!!! nitajie huyo binti tz anaishi wapi?! majina ya baba yake au mama yake(kama itawezekana) jina la boss wake wa oman(hata la mkewe ikiwezekana) niekee inbox...
  5. M

    Oman: Mtanzania auawa kwa kusukumwa toka ghorofani. Serikali yetu ipo wapi?

    hii hii habari ipo kama udaku usiokuwa na uhakika,na mwandishi unachuki binafsi labda na waarabu au wao oman au kuna ajira unataka ubalozi wa oman,kwanza tujifunze kutoamini habari mpaka tuifanyie research,si kila member wa jamiif ni mwaminifu, maswali yangu ni haya: hivi unaweza kweli kutaja...
  6. M

    Serikali (TAKUKURU) yakamata Tani 4,900 za Sukari iliyofichwa Mbagala na Tabata jijini Dar

    tan 4900 za dar ni sawa na mifuko ya 25kg 160000/= jiulize wakaz wa dar tu mupo wangapi?! kama kila mtu anunue robo kilo ya hiyo sugar inatosha kweli?! dodoma tan 154 sawa na mifuko ya 25kg 6150 sawa na gar za tan 30(semi trailer)tano tu...........kwa kawaida hiyo sugar kwa wakaz wa dodoma mjini...
  7. M

    Haidar Gulamali akutwa amehifadhi tani 154 za Sukari huko Dodoma

    tan 4900 za dar ni sawa na mifuko ya 25kg 160000/= jiulize wakaz wa dar tu mupo wangapi?! kama kila mtu anunue robo kilo ya hiyo sugar inatosha kweli?! dodoma tan 154 sawa na mifuko ya 25kg 6150 sawa na gar za tan 30(semi trailer)tano tu...........kwa kawaida hiyo sugar kwa wakaz wa dodoma...
  8. M

    USHUHUDA: Hii ndiyo michezo hatarishi ya Kampuni ya Mafuta ya Oilcom

    Hongera sana kwa unayotujuza,nadhan wahusika wapo yamewafika!katika kampuni zote za mafuta mda wako wote wa kazi bandarini ni oil com tu wahujumu uchumi, tupe mifano mingine kampuni nyengine zinazochakachua na kwa njia gani......... Siku njema
  9. M

    Tujipongeze watanzania kwa hili!

    Kwa mda mrefu sana nimefuatilia uelewa wa watu (wa tz) na ushiriki wao katika habari mbali mbali zitupiwazo katika mitandao ya jamii kwa kweli ni muamko mzuri, kama utatumika vizuri kuweka mbali ushabiki nchi tutaifikisha mbali kimaendeleo. Kilio changu ni kimoja tu, unaweza kuamini kuwa 82% ya...
  10. M

    Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

    kwa ufafanuzi huu nimekuelewa.....................
  11. M

    kwa hili hongera sana askari wa usalama barabarani!!

    ni mda sasa inafika miezi mi 2,safar zangu zote ninazotembea nikikuta kibao cha speed 50 au 60,lazma nikiheshimu,kwani tochi kila kona zipo za kutosha,wachilia mbali hizi mpya zinazonasa hadi gari 5 kwa wakati mmoja,siku za nyuma mara chache sana kuweza kulala kwenye basi kutokana na mwendo kuwa...
  12. M

    Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

    nchi kama sudan,imepokea wakimbizi wa syria zaidi ya 1 milion mpaka dakika hii bila ya visa wala masharti yoyote,...
  13. M

    Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

    ni ukweli uliowazi kuwa nchi nyingi za arabuni(si zote)zimezuia kupokea ndugu zao kutoa syria,hiyo ipo wazi.......
  14. M

    Jinsi mtandao wa Airtel unavyonyanyasa wateja wake

    Tarehe 29/08 nilihamisha kias flan cha pesa kutoka airtel money kwenda a/c ya NMB,hela kwenye airtel money wakazikata mda huo huo,ila kwenye a/c ya NMB haikufika,nikaona ni weekend nikaacha ilivyo,leo tarehe 31/08,nimecheki salio katika a/c zaidi ya mara 10,hakuna kilichoingia,nikauliza bank...
  15. M

    Kaeni chonjo, OFM yatega kamera kila kona ya jiji

    ningewakubali kama hiyo unayoiita O.F.M ingeanza na rushwa ndani ya polisi sawa trafiki barabarani au wanaolinda raia..........................huko ndio kuna chimbuko la rushwa haina haja ya kupigia simu,si umesema wanawakubali na mnashirikiana nao?!waombe muweke camera zenu sehemu zao za...
Back
Top Bottom