Umenkumbusha Busokelo, mwaka 2015 ndo nilipata bahati ya kuitembelea kwa mara ya kwanza. Niliizunguka kata zake zote. Kipindi hicho kampeni za uchaguzi zinatengwa maeneo ya vilabu vya pombe maana watu wanapatikana huko zaidi. Ngoma za asili ilikuwa ndio burudani yake. Maji ya mito yanatirieika...
wakulungwa, nina Redmi note 10, naomba kufahamishwa kama ninaweza kupunguza idadi ya Albums kwenye gallery. Namaanisha kwamba, kwenye gallery ukitumiwa picha kwa Whats app inaenda kwenye Album ya Whats app na wakati huohuo picha hiyohiyo unaikuta kwenye Album ya All photos, sasa hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.