Ile kauli sio swala LA muungano, hivyo halipaswi kujadiliwa Dodoma. Ila najiuliza maswala ambayo siyo ya muungano kwa upande wa Bara yanazungumzwa lini?
Anko nakuunga mkono, hakuna anayejali maana watoto wa wanaoitwa wanyonge wanaendelea kunyongwa. Ili waendelee kubwa mbu mbu mbuuuuu.kundi kubwa haina mwenyewe wenye uwezo hakuna mtoto wao huko, wwlimu wataenda kuweka vijiwe. Huyo msingi utakuwa wa nyasi , elimu kwishneee, [emoji23] [emoji23]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.