Habari,
Mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1. Mrefu mweusi, am very focused
2. Umri wangu 30
3. Graduate, Christian
4. Muajiriwa
5. Ninaishi Kilimanjaro
Sifa za mwanamke nimtakaye
1. Uwe mkristo na usiwe na mtoto
2. Umri lazima uwe na 18 hadi 26
3. Msafi wa mwili na roho
4. Uwe na elimu...
Amani ya Bwana iwe nanyi.
Naomba msaada wa chumba cha kupanga master au master sebule sawa, bei isizidi 130,000/=
Maeneo ya mitaa ya Mbuyuni, Dar Es Salaam hadi Soweto na maeneo mengine jirani na hiyo mitaa.
Natanguliza shukrani.
Walimu
Hizi interview za utumishi ambapo wanaita watu wengi almoat 25,000 pengine wanahitajika walimu 1000 tu, sio kwa walimu peke yenu, isipokuwa kwa upande wa walimu wanaonekana wapo wengi sana wasio na ajira hivyo basi idadi inakuwa kubwa, lakini hilo wala lisimuogopeshe mwalimu yeyote...
INSIDER MAN upo Dodoma sehem gan nije unisimulie kipande kilichobaki, isije kuwa kila baada ya masaa mawili nachungulia huku, kumbe tupo mitaa jirani tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.