Recent content by MASTER291

  1. M

    TANZIA: Aliyekuwa Mume wa Irene Uwoya, Ndikumana Hamad Katauti amefariki dunia

    Asubuhi ya leo Tanzania imezipokea taarifa za kifo cha aliyekuwa Mumewa Zamani wa IRENE UWOYA na Kocha msaidizi wa timu ya RAYON SPORTS ya Rwanda, HAMAD NDIKUMANA KATAUTI ambae amefariki ghafla. Mwandishi wa habari za Michezo Wa FOOTBALL SITE ameripoti kwamba Gakwaya Olivier ambae ni Afisa...
  2. M

    Simba yampa kibali Said Ndemla kufanya majaribio Sweden

    Simba imetangaza kumpa ruhusa kiungo wake Said Hamis Ndemla kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa nchini Sweden Taarifa rasmi kutoka Simba imethibitisha kiungo wao mshambuliaji Said Hamisi ‘Ndemla’ anaondoka kesho kwenda Sweden kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa...
  3. M

    Simba yampa kibali Said Ndemla kufanya majaribio Sweden

    Simba imetangaza kumpa ruhusa kiungo wake Said Hamis Ndemla kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa nchini Sweden Taarifa rasmi kutoka Simba imethibitisha kiungo wao mshambuliaji Said Hamisi ‘Ndemla’ anaondoka kesho kwenda Sweden kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa...
  4. M

    Kwa nyavu hizi tff inatakiwa kuwa makini

    Mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Singida United na mabingwa wa kihistoria klabu ya Yanga umemalizika katika Uwanja wa Namfua kwa timu hizo kutoka sare ya bila kufungana. Katika mchezo huo uligubikwa na utata dakika ya 54 ya kipindi cha pili baada ya mchezaji wa Singida...
  5. M

    Full Time: Singida FC 0 Vs Yanga SC 0, Namfua Stadium

    Mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Singida United na mabingwa wa kihistoria klabu ya Yanga umemalizika katika Uwanja wa Namfua kwa timu hizo kutoka sare ya bila kufungana. Katika mchezo huo uligubikwa na utata dakika ya 54 ya kipindi cha pili baada ya mchezaji wa Singida...
Back
Top Bottom