Leo ni siku ya tatu hivi, ninajaribu kuingia kwenye profile yangu ili nijue nimepata asimilia ngapi ya mkopo lakini cha ajabu link ya HESLB haifunguki.
Jamani naomba mnisaidie hii ishu maana sijajua nitalipiwa ada kiasi gani
Yah inawezekana ila utaratibu bado cjaujua so km vp nenda chuoni utapewa utaratibu wa kuhama, ila km una mkopo basi watasitisha kwa siku 90 wkt taarifa zako zikihamishiwa kweny chuo unachohamia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.