Si kweli...mzee nyerere alikuwa akitii mamlaka katika kudai haki kwa mkoloni ...hakuwa mpuuzi anaendeshwa na hisia, kushindana bila ya akili dhidi ya mamlaka uliyomzidi nguvu wakati huo
waumini walitakiwa kutii kauli ya mamlaka kwanza( licha ya maamuzi ya mamlaka kuwa sahihi au si sahihi). kushindana na mamlaka ni kujitafutia matatizo tu then uanze kulalamika...unadhani maamuzi ya mamlaka yatamfavour kila mtu wakati wote...
Surat Taha ..aya 65 - 73.
65. Wakasema: Ewe Musa! Je! Utatupa wewe, au tutakuwa sisi wa kwanza kutupa?
66. Akasema: Bali tupeni nyinyi! Tahamaki kamba zao na fimbo zao zikaonekana mbele yake, kwa uchawi wao, kuwa zinapiga mbio.
67. Basi Musa akaingia khofu nafsi yake.
68. Tukasema: Usikhofu...
kwani wabunge si wanatoa tu maoni yao kulingana na mitazamo yao...shida nini? wapo wanaomtetea Rais na wapo wamesimama na hoja za Gwajima ambaye pia ni mbunge. Tatizo nini ndugu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.