Hii ndo ipo sawa mzee huyo analeta kuongea asichojua dogo aombe Makerere hapo,japo kwa makerere sasa hivi wameanzisha qualification lazima uwe na experience ya miaka miwili kazini toka umalize diploma ndo wanakuchukua kuna ambao wamekosa hapo kwa hiki kigezo
Nashauri nenda omba Makerere mapema,hiyo GPA kupata huko bila kujuana utahangaika sana muhimbili pagumu mzee Makerere nenda tu kuanzia mwezi wapili huko wanaanza application
Anaweza kusoma kozi ya udaktari vyuo vya private,japo ushindani ni mkubwa sana kwa sasa.Muhimbili itamsumbua.Kuna kozi pia nzuri kama Bachellor of radiology(mionzi),doctor of dental surgery.
Maana hayo unayoita maarifa huko sidhani kama yatakusaidia hivyo unavyosema.Any way pambana tu kwa nn hayo maarifa yasikusaidie kupata mke mazingira uliyopo unakuja kutafuta huku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.