hebu kama mwana jf unayefuatilia bunge tumjadili mwigulu chemba,binafisi kwa mara ya kwanza nampongeza kwa ujasiri na kutanguliza maslahi ya taifa mbele
nilichokiona rais hakuja kuhutubia bunge ama kuzindua bali alikuja kumjibu Warioba na kuonyesha msimao wa ccm.nilitarajia yy kama kiongozi wa nchi kutoonyesha upande bali jukumu lingeeachwa kwa wajumbe kulumbana kwa hoja ili kutupa katiba ya kuwafaa watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.