Tuuache huo wa kurusha video za ngono uendelee kwa sabb hauna tija? Nahs tunashindwa kutetea asili yetu badala yake tunaungana na wazungu kwa sera zao za kipuuzi za kuambiwa ruhusuni ushoga tuwape misaada.
Kwahyo bora anyamaze na asionyeshe juhudi zake walau kwa kiasi flani? Misaada mingapi ilishakataliwa kuja tz lkn mbna maisha yanaendelea? Just tz
Tungeungana wote hili ni suala dogo sana kulidhibiti ila ni gumu kwa kuwa tayari tunalifanya gumu
Kwanza hawa jamaa bila sisi wao hawapo,mi hata watoe ofs za balozi zao zote saf mno,mafhara yake ni kuletewa mambo ya ushoga na kutuendeleza kuwa wajinga endapo tutaendelea kubembelezana
Dr jpm piga kazi,baada ya mda wako watakuja kukumbuka ujasiri wako
Nchi maskini kama tanzania bado unakuta...
Hon lema nenda kachukue rb polisi ili kustokee kisingizio,isije ikafka mda ukaanza kulalama wenzako watauliza ulitia taarifa polisi? Peleka taarifa rasmi polisi,na tatzo lako hata vituo vya polisi ulishazinguana nao
When we call as one u r the one stay ob window watching what is going on, its not today leave the system itself will give out many answers for the mass
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.