realy cheti hakifanyi kazi kazi anafanya m2 , wangapi wana vyeti vya kufoji ita watu vigezo kama vyeti viondoe wapi machine wakuonyeshe kazi zinavyofanywa
duh hyo ki2 sio kweli wadau me naipinga kabisaaaaaaaaaaaaaaa mm nakula chui jamaa yangu anakula lite lakin kisipite kitu mbele hakiachi na kaanza mua mrefu tu sana hadi ss anagonga lite
sio kila mwanamke unaweza kuingia chumvin mkuu , lazma ufanye test kwanza then ndo unazama tena kuna staili ya kuzama chumvin, chumvi hailiwi kwa pupa ila pole ndo maisha hayo ya ujana kusimuliana vijiwen,hostel nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.