Wakuu,
hakuna haja ya Zitto KURUDI Chadema. Tuko kwenye mapambano ya kuing'oa CCM. Kwa umaarufu wake ingekuwa vyema aanzishe chama then ajiunge katika UKAWA. Nguvu ya cdm sasa iko katika UKAWA sio kwa mtu (individual). Katika kujenga Taasisi tusitangulize ubabe, kwamba bila yeye au mtu fulani...
Mkuu Money Stunna,
Unaweza kunisadia kupata printing company moja huko wanaoweza kuniuzia carbonless papers? Tafadhali niulizie na unipe contact zao, hasa email na nk.
Ni kweli hafai. Niliwahi kusema siku za nyuma mods wakaacha maoni yangu. Lakaini kama ulivyosema hatuoni msimamo wake kama senir citizen kwenye masuala ya msingi ya kitaifa.
Ndugu wana JF,
Kichwa cha habari hapo juu kilinishtua sana wiki iliyopita. Wachangiaji wengi walionekana kuunga mkono. Mimi nasema huyu hana jipya. Kwanza umri umeenda na ametuangusha muda mrefu. Mambo mengi yamejitokeza hakusema kitu. Richmond, Twiga kupakiwa kwenye ndege n.k. Alitakiwa kama...
Sospeter,
Waeleze Watanzania dhahabu ya Buhemba ilinufaisha wanabuhemba au nani?. Twambie pia Twiga wetu walichukuliwa na Watanznia wote au nani?. Watanzania wanajua na wanaona haya. Hata kama ukiandika karatasi kumi, kutokuwajibika kwenu Serikalini kumeondoa imani ya wananchi kwenu. Sera zenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.